Natafuta kazi ya udereva

Natafuta kazi ya udereva

Ki hiace Daladala utaweza kuleta hesabu 50 kwa Siku? Nimeona Hizo C ndago unazo waeza Kuamsha gari Saa Kumi na Moja na kulaza saa mbili usiku unasaidiana na Dereva Mwenzio yupo Kazini Daily.
 
Ki hiace Daladala utaweza kuleta hesabu 50 kwa Siku? Nimeona Hizo C ndago unazo waeza Kuamsha gari Saa Kumi na Moja na kulaza saa mbili usiku unasaidiana na Dereva Mwenzio yupo Kazini Daily.
ni wapi mkuu
 
Habari naitwa Harold mkazi wa Dar es salaam kinyerezi nipo hapa kutafuta kazi ya udereva
Elimu yangu
kidato cha 4
Chuo cha usafirishaji (NIT) corse ya VIP
Leseni yangu class A B C1 C2 C3 D
Mawasiliano yangu
0718 669921
0762395595
View attachment 1665882View attachment 1665883
Babu usipede kuweka picha ya leseni yako humu watu wanaweza tumia namba yako ya leseni matokeo yake utakuta madeni kibao hata huyajuwi.
 
Back
Top Bottom