Mt Paulo Member Joined Oct 27, 2018 Posts 79 Reaction score 55 Nov 13, 2020 Thread starter #21 pleo said: Nilipiga dawa ya kichina "weedall", mpaka nikayaonea huruma majani yalivyo kaushwa hii kitu hatari sana Click to expand... Weedall na weed master zinatofauti au ndio hizo hizo
pleo said: Nilipiga dawa ya kichina "weedall", mpaka nikayaonea huruma majani yalivyo kaushwa hii kitu hatari sana Click to expand... Weedall na weed master zinatofauti au ndio hizo hizo
pleo JF-Expert Member Joined Jun 20, 2013 Posts 3,444 Reaction score 2,737 Nov 13, 2020 #22 Daimon Mkocha said: weedall na weed master zinatofauti au ndio hizo hizo Click to expand... Karibu zote ingredient ni Glyphosate, haya majina wachina wanatuchanganya tu... tafuta kiua magugu chochote chenye hicho kiatilifu.
Daimon Mkocha said: weedall na weed master zinatofauti au ndio hizo hizo Click to expand... Karibu zote ingredient ni Glyphosate, haya majina wachina wanatuchanganya tu... tafuta kiua magugu chochote chenye hicho kiatilifu.
orturoo JF-Expert Member Joined Mar 13, 2017 Posts 2,947 Reaction score 4,876 Nov 14, 2020 #23 Changanya hiyo round up na urea gram 200
Finufingi Senior Member Joined Feb 1, 2012 Posts 139 Reaction score 50 Nov 15, 2020 #24 pleo said: Nilipiga dawa ya kichina "weedall", mpaka nikayaonea huruma majani yalivyo kaushwa hii kitu hatari sana Click to expand... ....hayo ni majina ya kibishara tu....weedal,round up,multi glyphosate........zote hizo ni GLYPHOSATE
pleo said: Nilipiga dawa ya kichina "weedall", mpaka nikayaonea huruma majani yalivyo kaushwa hii kitu hatari sana Click to expand... ....hayo ni majina ya kibishara tu....weedal,round up,multi glyphosate........zote hizo ni GLYPHOSATE
Mt Paulo Member Joined Oct 27, 2018 Posts 79 Reaction score 55 Nov 18, 2020 Thread starter #25 orturoo said: Changanya hiyo round up na urea gram 200 Click to expand... Halafu inakuwaje kuwaje
B Bakariforever JF-Expert Member Joined Aug 30, 2017 Posts 510 Reaction score 511 Nov 20, 2020 #26 Daimon Mkocha said: Roundup za sasa hazina ubora kama za mwanzo nimepiga naona inachelewa kuua majani Click to expand... Round up inachukua siku 21, Dynasate 480L inachukua siku 15, Gugusate siku 15, Dk inayoua majani membamba siku 10 hadi 15.
Daimon Mkocha said: Roundup za sasa hazina ubora kama za mwanzo nimepiga naona inachelewa kuua majani Click to expand... Round up inachukua siku 21, Dynasate 480L inachukua siku 15, Gugusate siku 15, Dk inayoua majani membamba siku 10 hadi 15.