Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hiyo si kama miguu 5 Kwa 5 namaanisha hatua 🤣🤣🤣Inatoa chumba mana 3.4 au 4 chumba alafu choo 1.5 m so shimo la choo linakaa chini ya chumba chake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo si kama miguu 5 Kwa 5 namaanisha hatua 🤣🤣🤣Inatoa chumba mana 3.4 au 4 chumba alafu choo 1.5 m so shimo la choo linakaa chini ya chumba chake
Yah miguu iliyoshiba. Mana eneo hilo linaingia vitanda vitatuHiyo si kama miguu 5 Kwa 5 namaanisha hatua 🤣🤣🤣
DuuhYah miguu iliyoshiba. Mana eneo hilo linaingia vitanda vitatu
Duuh kweli hamna eneo dogo aiseeYah miguu iliyoshiba. Mana eneo hilo linaingia vitanda vitatu
Septic tank lazima litokee chini ya chumbaDuuh
Duuh kweli hamna eneo dogo aisee
Vyumba viwili na choo unatoaJe miguu 10 Kwa 10 unaweza kujenga ya ukubwa gani
Jiko hautoiVyumba viwili na choo unatoa
Unweza kutoa ila chumb standard ya kawida ni 3.5 so viwili ni 7 tayari. Choo uweke 1.5 na jko 1.5 kwa choo sawa ila jiko hilo huweki kabati?Jiko hautoi
Serikali ya kishamba sana yaani mtu anamilii eneo kubwa halafu halijengi ila inamuangalia tuKama kipato kidogo sio lazima kigamboni mana kuna pori kubwa tu na wenye hawqna mpango nalo. Mm nimenunua mwasonga kuna muarabu mmoja na jamaa mmoja wizara gan sijui wana eneo kubwa sana mpka najuta.
Unapajua kazole? Mipeko?
Fosi upate mwasonga au kisarawe 2 mana ndani ya miaka hii 3 kule lami uhakika.Serikali ya kishamba sana yaani mtu anamilii eneo kubwa halafu halijengi ila inamuangalia tu
Babu SQM 800 yaani 20 kwa 40 ni Tshs 60m hadi 70m. Hutaki hamia Buza.Haiwezekani, labda hujui square meter ni nini.
Picha mkuu
Lukuvi alishapiga marufuku viwanja vya 20 × 20.Wakuu kuna sehemu kigamboni inaitwa soko maziwa kuna mtu anakujuwa?Je kiwanja huko kinafika kiasi gani kama 20*20?Naomba usaidizi huo.
Okay ata 25*25 kama kipo,sema nlitaka kujua kuhusu hilo eneo la soko maziwa kwanza.Lukuvi alishapiga marufuku viwanja vya 20 × 20.
Ha ha ha haLukuvi alishapiga marufuku viwanja vya 20 × 20.
Hiko Kiwanja Sasa kinakaa nyumba ukubwa Gani aiseeHa ha ha ha
Kuna sehemu watu wanajenga 8 × 12 - yaani shimo la majitaka kinakuwa kwa chini ya sebure.
Yaani upo ugenini unapiga pilau sebureni afu kwa chini kuna mzigo wa kutosha.
20m.Wakuu kuna sehemu kigamboni inaitwa soko maziwa kuna mtu anakujuwa?Je kiwanja huko kinafika kiasi gani kama 20*20?Naomba usaidizi huo.