Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Ili Banda ndio Bei hiyoView attachment 3082022Siyo yangu nimejitolea tu kuonesha sample.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili Banda ndio Bei hiyoView attachment 3082022Siyo yangu nimejitolea tu kuonesha sample.
8 Kwa 12 unapata vyumba 2 na sebure...fresh kabisa na maisha yanasonga.Hiko Kiwanja Sasa kinakaa nyumba ukubwa Gani aisee
Sasa pa kukanyaga pa kukanyaga nje unapata kweli8 Kwa 12 unapata vyumba 2 na sebure...fresh kabisa na maisha yanasonga.
Wakuu kuna sehemu kigamboni inaitwa soko maziwa kuna mtu anakujuwa?Je kiwanja huko kinafika kiasi gani kama 20*20?Naomba usaidizi h
Ebwana mkuu nashkuru kwa usaidizi.Dah kumbe kama ushuani tu,kwa kiwango hicho naona kumbe bei kubwa sana.20m.
Wahi Kisalawe II ndani ndani wakau bado watu wamelala unaweza kupata 20 × 20 kwa 10mEbwana mkuu nashkuru kwa usaidizi.Dah kumbe kama ushuani tu,kwa kiwango hicho naona kumbe bei kubwa sana.
Mkuu, naomba link ya hilo TangazoView attachment 3082022Siyo yangu nimejitolea tu kuonesha sample.
Tangazo lipo kwenye group letu Whattsapp, namba za simu zimeandikwa.Mkuu, naomba link ya hilo Tangazo
Poa mkuuTangazo lipo kwenye group letu Whattsapp, namba za simu zimeandikwa.
Buza kiwanja ghali kuliko Gezaulole.Babu SQM 800 yaani 20 kwa 40 ni Tshs 60m hadi 70m. Hutaki hamia Buza.
Kibada achana nayo huiwezi; jikune unapoweza.
Buza ya sasa ni town na kuna route ya njia zote za Dar.Buza kiwanja ghali kuliko Gezaulole.
Akipandisha ghorofa anapata vyumba vinneVyumba viwili na choo unatoa
Wapi weweNjoo nikuuzie kiwanja kwa bei iyo tabora mjini kabisa karibu na stendi ya mkoa
Msongola kuna viwanja mpaka vya laki mbili na nusu tena barabarani kabisa ukitaka nikupelekeMsongola vp!?
Au unaogopa kununua Msongo wa mawazo... Na kujenga Trasfoma yenye Msongo wa KV 333,000,000,000
Nilikuwa namuuliza mtoa UZI kuwa msongola hakutaki maana Laki mbili nyingi mie buku 3 na shilingi 3 nakupa kiwanja Msongola na Hati ya Halmashauri ya temekeMsongola kuna viwanja mpaka vya laki mbili na nusu tena barabarani kabisa ukitaka nikupeleke
Ninacho mwasonga 20m×20m utaongeza iwe 2.5mHabar wadau , natafuta kiwanja maeneo ya geza ulole, kibada n mwongozo ofa yangu ni milioni 2. Kam Kuna mtu ana kiwanja maeneo hayo naomba tuwasiliane
Mwasonga ipi mkuu mchangani au tulivu?Ninacho mwasonga 20m×20m utaongeza iwe 2.5m