Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlandizi mbali sana mkuu, huna sehemu nyingine!Mlandizi unapata eka moja .ipo
Ipo wapi hii?
HapanaUnahitaji vikindu tu?
We unacho Kiwanja maeneo ganiUnahitaji vikindu tu?
Kibaha kongowe,visiga,kwa mathiasMlandizi mbali sana mkuu, huna sehemu nyingine!
Ahsante
Kibamba kipoKwa morogoro road napenda maeneo kuanzia Mbezi, kwa Bagamoyo road Mmh sidhani,
Huku sawa, vipi umbali toka barabarani na ukubwa wa eneo!Mmbande kwa mbele, panaitwa mwanadilatu.
Futi za kutembea kwa miguu au!Njoo nlupe eneo kisemvule kwa 3m tu ukubwa ni 40 kwa 50 futi
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk.
Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako.
Mi ninataka kikubwa kiasi chake.
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk.
Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako.
Mi ninataka kikubwa kiasi chake.