Ngunichile
JF-Expert Member
- Nov 27, 2019
- 356
- 522
Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Kina title deed ??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Ukifika mmbande mwisho unachukua pikipiki ni 1500 hivi.
Ukubwa ni foot 60*50
sasa Futi ndio kiwanja gani hicho?? yaani mita 12 kwa 15 (Sqm 180) kwa milion 3?? tena maporini huko Kisemvule? acha utapeli weweNjoo nlupe eneo kisemvule kwa 3m tu ukubwa ni 40 kwa 50 futi
Hicho cha 4M kina ukubwa gani?
🤣 hao inaelekea ni madalali wanatumia ujanja kuvutia biashara.FUTI tena ????
Vipi kuhusu hati miliki?
Kina title deed ??
Bado taarifa haijajitosheleza,ukubwa gani, hati nk.hiko chako au dalaliNjoo nikuuzie 5m, chanika mwisho
Kesho tunaweza onana nikapaone?Mita 40*30
Kesho tunaweza onana nikapaone?
Ingia in box mzeeJamani eenh mbona kimya
Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk.
Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako.
Mi ninataka kikubwa kiasi chake.
Hiko 35 by 35 kipo wapi
Njoo Magomeni MakutiMlandizi mbali sana mkuu, huna sehemu nyingine!