- Thread starter
- #21
Kigamboni ipi kwa hiyo milion5?Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kigamboni ipi kwa hiyo milion5?Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Kigamboni ipi kwa hiyo milion5?
Ukubwa?Kibamba kipo
Kama unaelekea cheka kutokea ferr then unashukia ferrKama unaelekea cheka kutokea ferr then unashukia ferr alaf unaingia ndan km unaelekea chuo cha udaktar viwanja viko vingi sana ndugu yangu
Kama unaelekea cheka kutokea ferr then unashukia ferr
Sijaelewa hapa mkuu
Ccm
Kama unaelekea cheka kutokea ferr then unashukia ferr
Sijaelewa hapa mkuu
Chako au we Dalali? Samahani lakiniNdugu kule umeme umefika mijumba inashushwa sana na hali ya hewa ni tamu km sukar
Chako au we Dalali? Samahani lakini
Ahsante naomba ni pm namba yakoNicha ndugu yangu vipo vya mita35*35 km vi3 hapo hapo
MapingaKichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk.
Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako.
Mi ninataka kikubwa kiasi chake.
Hili jina si geni sana masikioni kwangu, hii ipo Mbezi au kinyerezi au Bagamoyo roadMapinga
Ahsante naomba ni pm namba yako
Hicho cha 4M kina ukubwa gani?Kaka kiwAnja kipo kigamboni mita 35*35 mil 5 na laki 5 ila pia kipo cha mili 4 kigamboni mwembe kdogo karibia na chuo cha udaktari
Anakubali kupokea installment?Nicha ndugu yangu vipo vya mita35*35 km vi3 hapo hapo
Njoo Kiluvya , eneo linaitwa makurunge, ukubwa wa kiwanja ni mita 20×20 , bei yangu mil 3Kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nina 3.5 m cash kwa ajili ya Kiwanja kipatikane maeneo jirani na dsm km vile vikindu nk.
Njoo na bei na sifa za Kiwanja chako.
Mi ninataka kikubwa kiasi chake.
Njoo nlupe eneo kisemvule kwa 3m tu ukubwa ni 40 kwa 50 futi
Futi ndio zinaniacha hoiFUTI tena ????