Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Kila siku zinguka uwanja wa mpira Mara tano na kuruka Kama mjeda mikono kifuani kwa walau nusu saaNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Hapa jamaa anatengeneza mazingira...hehehe...Kinyesi na kitambi wapi na wapi
Hi kitu ataharisha mpaka utumbo.nenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
Mademu wa chuga wanajifanyaga wagumu.Mwandiko umekaa kiume kweli kweli
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hebu tukuone, ila kama unazunguka na kinyesi wakati vyoo vipo ni tatizo
Nilisahau hiliMademu wa chuga wanajifanyaga wagumu.
Anataka ka shape kama kako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wakati unabugia hayo mazagazaga na mbege hukujua mitihani yake?.Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Madem wa Arusha hawarembagi ndg yanguMwandiko umekaa kiume kweli kweli
Utavumilia kuharisha siku 2?Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
MazoeziNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Kula kila kitu ondoa kabisa vitu vyenye wanga. ONDOA soda na bia, kunywa maji.na mazoezi kidogo. Lkn sio kila mzungu anapenda vyembamba.( ukimpenda mtu mpende alivyo hivyo hovyo lolNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati