Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Ni dume jike...wale ambao si rizikiMwandiko umekaa kiume kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni dume jike...wale ambao si rizikiMwandiko umekaa kiume kweli kweli
Kunywa dawa ya kuharisha!Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Dah! Hii itaondoa mpaka Tako!nenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
Kwa spidi hiyo utaachika!Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Utamuua huyuunenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
Mkuu, kama uko serious tafuta virutubisho fulani hivi vya forever living Company vinaitwa C9, utakuja kunishukuru baadae! Usisahau kunialika kwenye hiyo harusi yenu, hata nikiwa paparazi inatosha!Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana aise!Hebu tukuone, ila kama unazunguka na kinyesi wakati vyoo vipo ni tatizo
😂😂😂😂sasa hii ni ya kunya au kupunguza mwili hii?Habat Mulk. Kiboko ya mavi tumboni. Utakunya mpaka ulimi.
Hivyo inaondoa kitambi au unajisaidia sana tu?Habbat Al Muluk, hii itakufaa sana. Inatoa kila kitu mwilini, yaani unabaki huna chochote. Unakuwa ni empty set
Kazi ipoNimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Hii Umshauri Siku Akila Zile Punje, Maliwato Asiwepo Mtunenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Mimi nawaona washamba tu, u mutch know mwingi for nothing!Tanzania nzima wanawake wa Arusha ndio wanaongoza kwa Tamaa. Baba ukiingia bar ukiwa na mzungu wanamzingira kama kama mavi na inzi