Natafuta kwa udi na uvumba dawa ya kuondoa vyakula tumboni ili kitambi kiishe haraka

Natafuta kwa udi na uvumba dawa ya kuondoa vyakula tumboni ili kitambi kiishe haraka

Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.

Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Mkuu, kama uko serious tafuta virutubisho fulani hivi vya forever living Company vinaitwa C9, utakuja kunishukuru baadae! Usisahau kunialika kwenye hiyo harusi yenu, hata nikiwa paparazi inatosha!
 
Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.

Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Kazi ipo
 
Rahisi kabisa.Amka asubuhi mapema,andaa maji safi lita mbili,kama we ni mnene zaidi fanya lita 3 kabisa.Kabla hujala chochote kunywa maji yote(itakuwia ngumu kidogo) lakini jitahidi umalize yote.Hakikisa siku hiyo huna mtoko kabisa!! na kaa karibu
na choo!!
 
Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.

Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati

Tunaomba jinsia yako kwanza
 
Back
Top Bottom