Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chakula kinapita mdomoni, wewe unataka ukakitolee tumboni?Nimechanganyikiwa kichizi, Bwana wangu mzungu anataka niondoe mkitambi wangu ndani ya miezi miwili ili tukafunge ndoa kwao Sydney.
Naombeni jamani dawa ya kuondoa michemsho, mapupu, kyepe, miugali, na mazaga yaliyogandana tumboni. Mtoto wa ki Ara Chuga nsipitwe na bahati
Uongo huu. Bangi inaketa njaaVuta puli moja la bangi kila week kwa miezi sita then leta mrejesho
Inategemea na nguvu ya kiroho ya mtuMshana Jr --hii kitu inawezekana?View attachment 2239222
Kuna moja nzuri sana. Unatoa mauchafu tumboni mpaka unajiona kinyaaNenda maduka ya dawa za kihindi mwambie akupe HABAT MULUK..
Ipi hiyo mkuuKuna moja nzuri sana. Unatoa mauchafu tumboni mpaka unajiona kinyaa
Nakutumia picha
Sio unahara mpk utumbo
Chakula kinapita mdomoni, wewe unataka ukakitolee tumboni?
Inapatikana wapi? MBona kama mafuta ya Mwamposa?
Nitajuaje kwamba nimelishwa uchawi?Mshana Jr --hii kitu inawezekana?View attachment 2239222
Utaharisha mpk puru utakua unairudisha ndani kwa kidole.Naomba nielekeze na mimi mkuu,. Kuna ndugu yangu anaitafuta kweli iyo dawa
HapanaSio unahara mpk utumbo
Inaitwaje inapatikana wapi?Hapana