Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Ndo maana kashindwa kuwapata huko mtaanimbona haupo friendly sasa unawezaje kupata marafiki kwa namna hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo maana kashindwa kuwapata huko mtaanimbona haupo friendly sasa unawezaje kupata marafiki kwa namna hii?
Ninao ila nataka kuongezaNdo maana kashindwa kuwapata huko mtaani
Ukipata wengi unipunguzie na mieNinao ila nataka kuongeza
Seriously kwa maana nitakufoadiaUkipata wengi unipunguzie na mie
Hapana ni urafiki tuNimeipenda strategy yako, umeamua kupitisha mchujo kivingine [emoji23][emoji23] Wakuu njooni mtoe ushauri positive muopoe mtoto hapa.
Uzuri na ubaya wa hii njia lazima bidada atoe mtongozo kwa mtoa ushauri bora. Aisee
unajipiga pin tena mwenyewe, jiamini basi.Sijui jinsia yangu
Majanga yanaanzia hapo,itabidi upapaswe kwanzaSijui jinsia yangu
Nafikiri ungefafanua kidogo kuwa unapenda marafiki wa aina gani waweza kuwa wenye exposure ya Biashara, Kilimo, ufundi nkMimi humu sitafuti mpenzi .
Hiyo sekta imepitwa nawakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa .
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha .
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Unajua unasema hivyo wakija unawachuja unabaki nahao waliokuridhisha na ndio maana bss wanaita watu wote wanapewa fulsa halafu wanaoimba vizuri wanachujwa hadi wapate mtu sahihi.Nafikiri ungefafanua kidogo kuwa unapenda marafiki wa aina gani waweza kuwa wenye exposure ya Biashara, Kilimo, ufundi nk
Pengine na minimum Age kuepuka hao wa kuoa/olewa usio wahitaji; Above 40?
Na kama mambo ya shule yana kugusa , pengine kuanzia Dipl??
Pengine wawe wanywa kinywaji au La ( au haijalishi)
Wavuta sigara au la ( au haijalishi)
Seriously??Sawa Nitafute Kwenye namba zangu Mkuu.
Call: 0732000127 au 0620001300
Sawa kama wewe naona tunaendanamarafiki hawatafutwi manually ivo , watakuja wenyewe ikiwa mnaendana tabia/interests