Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Napenda sometimes lakini upo dar ndio shidaUkitafuta marafiki mapenda kula bata usisahau kunishtua!
Kwani we upo wapiNapenda sometimes lakini upo dar ndio shida
A rushaKwani we upo wapi
Aya sawa wkend tutaonanaA rusha
Seriously??
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wanachuo wanasemwa sanaBora ungeweka tuvigezo tungekusaidia, usijeshangaa unakutana na wadogo zako huko piem.waanze kukusimulia vyuo vimefungua
Poleni sanaDuuuh kwenye interview tuchujwe nawewe utuchuje mbona hii nchi ngumu hivi
AsantePoleni sana
Kuwa na rafiki n stage huwez pata rafiki wa toka nitoke au shida na raha ktk aina ya thread umepata siwez judge umri wako ila rafiki n mahusiano bnafsi sikatai njia uliotumia waweza kupata ila wengi tulio mitandaoni n ndgu ktk mwamvuli wa TanzaniaMimi humu sitafuti mpenzi .
Hiyo sekta imepitwa nawakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa .
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha .
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Hahahahah watu wa Masoko wapo kila nyanja!Marketing ni swala pana sana na lina strategies na methodology ambazo huwezi kuzidhania kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ujasema ushauri positive upande upi. Sio kila rafiki yako anaweza kuwa na positive attitude kwenye kila nyaja/swala.utakalo mwambia
Rafiki ni rafiki ili mradi mnaelewana .Kuwa na rafiki n stage huwez pata rafiki wa toka nitoke au shida na raha ktk aina ya thread umepata siwez judge umri wako ila rafiki n mahusiano bnafsi sikatai njia uliotumia waweza kupata ila wengi tulio mitandaoni n ndgu ktk mwamvuli wa Tanzania
Swala la msingi n set ur standard nn wahitaji kwa rafiki na anza recruit ktk watu wako wa karbu huwez kupata perfect one lkn waweza pata anaekarbiana na vgezo vyako chukua deal nae kwa kuelekezana kuna ups and downs nyingi mtapitia lkn kumbuka hapo ndo mtakuwa mnajengeka na kuwa strong zaidi
Nje ya hapo mostly utapata marafiki wa kuchart na kubang tu life ako itabaki kuwa chini ya uwezo wako wa kuchakachua mambo
ALL DA BEST
ok [emoji1666]Mimi humu sitafuti mpenzi.
Hiyo sekta imepitwa na wakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa.
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha.
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Sijaweka vigezo