Strictly Syrup
JF-Expert Member
- Aug 4, 2013
- 1,227
- 1,818
Marafiki wazuri wanatengenezwa na si kutafutwa waweza ona rafiki wa wenzako ni wazuri but kwako ni sumu.Mimi humu sitafuti mpenzi .
Hiyo sekta imepitwa nawakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa .
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha .
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Sijaweka vigezoUrafiki bila pesa labda Jela.. "Alisikika muuza utumbo akisem.."
Mkuu wewe acha vigezo,,, chagua rafiki then muonane live mengine mtajua mkishaonana...
Vigezo vigezo vyako hvyo ndio utapata waigizaji..
Thank me later
Ila kweliKuna mambo katika maisha huwezi lazimisha.
1. Kupenda/kupendwa
2. Urafiki.
Vitu hivyo huwa wakati mwingine havipangiwi mazingira wala hali ni mambo yanayotokea automatically.
Wanaojielewa na kuwa na hiyo positive attitude wanajilinda na siyo kila sehemu ataingia tu ilimradi kaalikwa.
Ushauri wangu:
Fuatilia thread za watu unaowaona wako positive kisha tafuta namna ya kujenga nao ukaribu either kwa kuanza kuuliza maswali fulani kuhusu maisha au ushauri kuhusu jambo lolote la kujenga ila kwa kuweka uzi kama hivi utakutana na mabaharia.
Labda kama lengo lako ni tofauti na ulichokiweka.
Mimi humu sitafuti mpenzi .
Hiyo sekta imepitwa nawakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa .
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha .
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Au transgenderSijui jinsia yangu
Anataka kugombea 2025Huu urafiki wa masharti mengi mbona kama una dosari hivyo?
Umpe story za madiluu system au?Wazee Kama sisi ndo tunahitajika
Madiluu ?Umpe story za madiluu system au?
Umejuaje ndio maana natafuta majeshiAnataka kugombea 2025
Nafasi za wazee zimejaa au? Kama bado nije inboxMimi humu sitafuti mpenzi .
Hiyo sekta imepitwa nawakati the thing is natafuta marafiki wenye kutoa ushauri positive na connection mbali mbali umtanisuta ila nao umri umefikia kuwa na marafiki wa kujenga nasio wakubomoa .
Kwa yeyote aliyetayari mnakaribishwa ila sio nijaze pm hapana only 2 ni wananitosha .
Age inamata pia .
Kuna vigezo naangalia ila sisemi hapa.
Rafiki ni rafikiNafasi za wazee zimejaa au? Kama bado nije inbox