Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

Md and unemployed. Nakutana na watu wa Denmark wana few doctors wanakujua tz for exposure . Sema sheria zake. Wabongo kuingia ni impossible. YOU WASTED 6 years. God will provide .
Wataenda wakati asilimia 95% iq zao ndogo. Daktari slow, hawezi kujenga hoja wala diagnosis. Wengi wanaupenda lakini hawauwezi. Wachache sana nimeona wako vizuri. Rundo lingine ni wannabes.
 
Sema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.
 
Ni swala la muda tu, hakunaga ku waste muda kwenye Md

Acheni ujuaji wa kijinga
Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
 
Tukiwaambia yule mzee mwehu aliharibu nchi mnabisha.
Zamani hospitali , vituo vya afya na zahanati za binafsi zilikuwa zikilipa mshahara mrefu kuliko serikalini ili kuwavutia vijana wakafanye kazi huko lakini sasa imekuwa kinyume Clinical officer mpaka laki 3 analipwa na kuipata hiyo kazi mpaka mtu avuliwe chupi au atoe pesa.
 
Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
Waambie hao mandezi
 
Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? [emoji1787] Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo[emoji1787][emoji1787]
Sema chief unaonekan una hasra san na vjana walosoma hii kozi punguza chuki tu
 
Back
Top Bottom