Selected by gods
Senior Member
- Dec 23, 2022
- 140
- 321
Una mda gani tangu umalize chuo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh from College au University?!fresh from college na nimejitolea sana . Naona nichomoke sasa
Medical board au Medical Council of Tanganyika?Nipo full registered medical board na nina Active License.
Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
Vijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.Nipo full registered medical board na nina Active License.
Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
Dah haya bhnaVijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.
Acha kumkatisha tamaa za "kizwazwa" msomi wetu.....Vijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.
Vijana wenzio wanasoma vitu ambavyo unaweza kujiajiri. Wewe ukachagua usaa na damu. Sasa mpo wengi kama sisimizi. Kazi ya kudharauliwa kama ualimu. Pole. Ila pambana.
Wagonjwa wanakusubiri kanuse madonda huko.Wewe maisha umemaliza.
AmenMd and unemployed. Nakutana na watu wa Denmark wana few doctors wanakujua tz for exposure . Sema sheria zake. Wabongo kuingia ni impossible. YOU WASTED 6 years. God will provide .
Wataenda wakati asilimia 95% iq zao ndogo. Daktari slow, hawezi kujenga hoja wala diagnosis. Wengi wanaupenda lakini hawauwezi. Wachache sana nimeona wako vizuri. Rundo lingine ni wannabes.Md and unemployed. Nakutana na watu wa Denmark wana few doctors wanakujua tz for exposure . Sema sheria zake. Wabongo kuingia ni impossible. YOU WASTED 6 years. God will provide .
Nenda WasafiNipo full registered medical board na nina Active License.
Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
Ni swala la muda tu, hakunaga ku waste muda kwenye MdMd and unemployed. Nakutana na watu wa Denmark wana few doctors wanakujua tz for exposure . Sema sheria zake. Wabongo kuingia ni impossible. YOU WASTED 6 years. God will provide .
Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣Ni swala la muda tu, hakunaga ku waste muda kwenye Md
Acheni ujuaji wa kijinga
Waambie hao mandeziNi wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
Sema chief unaonekan una hasra san na vjana walosoma hii kozi punguza chuki tuNi wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? [emoji1787] Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo[emoji1787][emoji1787]
Wala. Ni hiphop tu. Ukweli mchungu. Wasije wakadhani wana la maana.Sema chief unaonekan una hasra san na vjana walosoma hii kozi punguza chuki tu