Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

Ndio kinachowacost , kutafuta heshima. MD wa Tanzania haheshimiki, labda uwe very exceptional Sana. Na wengine ni average Joes kama wewe ila wanaipenda sana hiyo course. Utateseka sana. Ela ipo kwenye tech. Heshima uwe na ela bana. Eti MD alafu unazidiwa pesa na auditor au financial manager we unakuwa nani?
Watoto wa maskini ndo wanaenda afya na ualimu

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Ni wastage acha kujipa moyo, nitajie md yoyote tajiri Tanzania, nje yenyewe watu wanaikimbia skuizi. Nguvu nyingi, muda mwingi kazini ata ela ukipata haina maana. Kozi la hovyo. Wenzio wapo TRA, TIRA, Hazina etc, hawatoi jasho wala hawaamki usiku na hawalaumiwi kwa kuua na wana maisha kukuzidi unataka kusemaje yani? 🤣 Umechagua kazi ya malofa dogo usijidanganye. Nerds and low people ndio wanajichanganya huko. Unatumia nguvu nyingi kuwa mtu wa kawaida. Kwanza ebola ikija unasepa chap kama upepo🤣🤣
Huko TRA mpaka upate hiyo kazi unafikiri mchezo? Huyo daktari kazi atapata tu asiwe na wasiwasi. Na kuna wengine wanapata kazi mashirika ya umma mfano NHIF na wanapata mishahara mikubwa sana kuliko walioajiriwa na wizara ya afya.

Kimsingi kazi za kuajiriwa siyo rahisi kuwa tajiri, utaishia kuwa mtu wa kipato cha kati
 
Halafu watu hawafikirii, ajira mishahara midogo ukianza, ukija kupandishwa cheo baada ya miaka mitatu, mshahara unakuwa mnono zaidi, ukikaa miaka 10 kazini unakuwa umepandishwa cheo mara tatu, take home yako inakuwa kubwa mno.
Kuna watu take home zao kwa sasa ni karibia milioni mbili, na taaluma zao ni hizi hizi mnazozidharau
 
Huko TRA mpaka upate hiyo kazi unafikiri mchezo? Huyo daktari kazi atapata tu asiwe na wasiwasi. Na kuna wengine wanapata kazi mashirika ya umma mfano NHIF na wanapata mishahara mikubwa sana kuliko walioajiriwa na wizara ya afya.

Kimsingi kazi za kuajiriwa siyo rahisi kuwa tajiri, utaishia kuwa mtu wa kipato cha kati
Kubwa uyaone acha kudanganyana , madaktari wenzie kibao hawana ajira.
 
Sema to be honest hawa madaktari wa kuanzia miaka ya 2020 aisee Mungu atusaidie tena sana watanzania ambao kipato chetu papatupapatu...Tena hawa wanaoanzia CO ndio chenga balaaa.
Sio hao walioanzia CO ndio angalau?
 
Back
Top Bottom