DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Ndio graduates wa leo hawa, vyeti vikubwa..skills hakuna+professionalism sifuri.Mkuu, nilikupa kazi unayoomba huku, kabla hata ya kuanza kazi yenyewe ukaingia mitini. Sasa umerudi kuomba kazi tena?
Ujue utaratibu wa hivi husababisha watu wenye shida serious wasisaidiwe kwa hofu kuwa hakuna userious. Usiombe kitu kama hauko serious na unachoomba maana unawaharibia na wenzako wenye uhitaji serious waonekane ndio wale wale tu na wapuuzwe.