figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Aya weeeeeeeeee! Nimekosa bahati hii mm, Duh! Mimi nimezidi hapo inaruhusiwa?
figganigga kweli mwaka huu umeamua mwendo wa vitu natural sio?? sasa umri wako umenitisha lol! kila la heri mdogo wangu.
Jinsia utakayo? Nauliza tu...
Jinsia utakayo? Nauliza tu...
figganigga kweli mwaka huu umeamua mwendo wa vitu natural sio?? sasa umri wako umenitisha lol! kila la heri mdogo wangu.
Nilikuwa naaanisha umri unaotaka mm nimezidi, je naruhusiwa kuapply?umezidi wapi?. mia
Jinsia utakayo? Nauliza tu...
asante sana mdogo wangu, maisha ndivyo yalivyo wangu, wewe ukipanga mwenye nguvu anapangua, ukitamani mazuri na mabaya pia unapewa.hapo kwenye umri wake pameniwacha hoi...
Nimeku miss sana dada. Pole kwa matatizo
Nilikuwa naaanisha umri unaotaka mm nimezidi, je naruhusiwa kuapply?
hapo kwenye umri wake pameniwacha hoi...
Nimeku miss sana dada. Pole kwa matatizo
madam b nae kafunguka mwaka huu dada unalo huku beg party kule kitchen party! andaa kadi cha michangoasante sana mdogo wangu, maisha ndivyo yalivyo wangu, wewe ukipanga mwenye nguvu anapangua, ukitamani mazuri na mabaya pia unapewa.
nimeishia kusema nitegemee mema tu toka kwa Mungu na mabaya je yasinipate??
naona MIA kaamua huu mwaka lazima nicheze begi party lol!
niandike umri kwa kirumi ndo hautaogopa?. nina miaka thelathini na sita. just nipm kama upo interested. naamin ntafanikiwa. asante dada yangu halafu pole kwa matatizo. 😛oa: mia
daaah mimi nina cm 154
kidogo ningekupata
madam b nae kafunguka mwaka huu dada unalo huku beg party kule kitchen party! andaa kadi cha michango