Natafuta mchumba ambaye alishawahi kuolewa akaachika

Natafuta mchumba ambaye alishawahi kuolewa akaachika

sasa kaka hata kama ameachika kwa umalaya wewe twende kazi au kuachika kwa mazingila gani?jiweke wazi au unataka mjane?
Mimi ndo ntamtuliza. siwezi kumhukumu mtu kwa kosa la mtu mwingine. je kama alisingiziwa au kajirekebisha?. tungekua tunaangalia sifa hizo tungekua tunaoa mabikra tu. mia
 
wewe unafaa. lakini ntakupa sharti la kunyoa hizo dred kama utakubali..hahahahaaaa...!!!..hapo najua utasema bora nisiolewe!. mia

wewe utakuwa umechanganya mambo.
dred ziko wapi?
 
mimi ni kijana mwenye miaka 36 ninaishi dar. natafuta mchumba ambaye ametoka kwa bwana. nataka yule aliyeshindwa maisha ya ndoa.
sichagui dini wala kabila lakini asiwe amejichubua, ufupi usizidi cm 155, awe anaishi dar, umri usiwe chini ya miaka 25 na usizidi 33, asiwe anapenda mawigi na kujibandika mirangi usoni. inabidi awe simple.
kama upo jf basi nipm tutafutane. kama upo upo nje ya jf basi niinbox kuptia figganigga@jamiiforums.com. karibu sana. mia

Umefanya maamuzi sahihi Mkuu! Mke mwema anatoka kwa bwana. Kwahiyo aliyeachika ndio sahihi kabisa!
 
Umefanya maamuzi sahihi Mkuu! Mke mwema anatoka kwa bwana. Kwahiyo aliyeachika ndio sahihi kabisa!
Ni kweli mke mwema anatoka kwa bwana. Mpe hi! marejesho. mia
 
Last edited by a moderator:
mi ninasifa zote hizo but una wallet ya kutosha? kama unazo nijibu nikupe namba fasta au nikuinbox
 
Hahaha mume si huyu nimempata.ni inbox namba yako.shart nataka mwanaume muhongaj
 
Hahaha mume si huyu nimempata.ni inbox namba yako.shart nataka mwanaume muhongaj

oya mi nataka mke wa kuoa si wa kuhonga. hao madogo hapo juu wakina Paloma tunataniana. mia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom