figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndo ntamtuliza. siwezi kumhukumu mtu kwa kosa la mtu mwingine. je kama alisingiziwa au kajirekebisha?. tungekua tunaangalia sifa hizo tungekua tunaoa mabikra tu. miasasa kaka hata kama ameachika kwa umalaya wewe twende kazi au kuachika kwa mazingila gani?jiweke wazi au unataka mjane?
wewe unafaa. lakini ntakupa sharti la kunyoa hizo dred kama utakubali..hahahahaaaa...!!!..hapo najua utasema bora nisiolewe!. mia
mimi ni kijana mwenye miaka 36 ninaishi dar. natafuta mchumba ambaye ametoka kwa bwana. nataka yule aliyeshindwa maisha ya ndoa.
sichagui dini wala kabila lakini asiwe amejichubua, ufupi usizidi cm 155, awe anaishi dar, umri usiwe chini ya miaka 25 na usizidi 33, asiwe anapenda mawigi na kujibandika mirangi usoni. inabidi awe simple.
kama upo jf basi nipm tutafutane. kama upo upo nje ya jf basi niinbox kuptia figganigga@jamiiforums.com. karibu sana. mia
mimi sijui kitu kinacho husu nywele. kwani hilo ni wigi au nini? nisaidie!. miawewe utakuwa umechanganya mambo. dred ziko wapi?
mimi sijui kitu kinacho husu nywele. kwani hilo ni wigi au nini? nisaidie!. mia
asante sana. ndo maana nakupenda penda siku zote. sababu hua unanielimisha. ntakuletea pipi. umesikia?. miateeh.........mhh!!!zile ni rasta. mia mbili!!!
asante sana. ndo maana nakupenda penda siku zote. sababu hua unanielimisha. ntakuletea pipi. umesikia?. mia
athantee...napendaga pipi toffi.......! mia mbili!
Hahaha mume si huyu nimempata.ni inbox namba yako.shart nataka mwanaume muhongaj