figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #21
hahahah! kumbe mwenzangu chumvi umekula sana sio?? anyways asante kwa salam za pole. nipo bado najione mauza uza tu
Mungu akutie nguvu. pamoja sana. mia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahah! kumbe mwenzangu chumvi umekula sana sio?? anyways asante kwa salam za pole. nipo bado najione mauza uza tu
umezidi miezi mingapi? je wewe mlefu sababu sitaki mwanamke ambaye nikitaka kumbusu hadi niiname. mia
aiyaaaa wish ungeniona usingefurukuta muulize Nicas Mteihata ungezidisha nisingekubali sababu wewe ni mfuga kucha halafu bado hujaolewa. mia
mfupa uliomshinda fisi binadamu atauwezea wapi mkuu? huyu ni muzee wa mia kaa mbaliMuanzisha sredi inabidi kuweka bayana kama unaye mwenza mwingine au huna, halafu ukijaaliwa kumpata utafanya yapi ili kuhakikisha hashindwi tena maisha ya ndoa akiwa nawe?
yaani huu mwaka lazima tucheze kwaito la mtu hapahhhahahahah!..................kweli mwaka umeanza vyema sasa...........haya itabaidi tuwe na kamati za sherehe za harusi za MMU sasa.
yaani huu mwaka lazima tucheze kwaito la mtu hapa
umeona eeeh yaani ni hao hao wanatafutanammmh! sasa kwanini figganigga na Madame B wasiwowane?? manake wanasifa zinazostahili kwa kila mmoja kama wameambizana
umeona eeeh yaani ni hao hao wanatafutana
mi matron wa kichen partyhata mm nimehisi hivyo lol! sasa basi wasitucheleweshe kula ubwabwa tuna hamu nao toka xmass atujala pilau wenzenu fanyeni mambo mniweke mm kuwa mwenyekiti wa kamati ya maandilizi mwone mtakavyopendeza.
Wala makombo hutawasahau ILA HAINA SHOMBO ,kesha tendwa huyu
Hahahahahaahaha! loh , Naona Mimi utapiga magoti kabisaaaaaaa! maana naona ni ile mbegu ya baba thao si thithi thithi!
Muanzisha sredi inabidi kuweka bayana kama unaye mwenza mwingine au huna, halafu ukijaaliwa kumpata utafanya yapi ili kuhakikisha hashindwi tena maisha ya ndoa akiwa nawe?
aiyaaaa wish ungeniona usingefurukuta muulize Nicas Mtei
Sory why unataka aliyeachika,please nijibu
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
mi matron wa kichen party
mimi ni kijana mwenye miaka 36 ninaishi dar. natafuta mchumba ambaye ametoka kwa bwana. nataka yule aliyeshindwa maisha ya ndoa.
sichagui dini wala kabila lakini asiwe amejichubua, ufupi usizidi cm 155, awe anaishi dar, umri usiwe chini ya miaka 25 na usizidi 33, asiwe anapenda mawigi na kujibandika mirangi usoni. inabidi awe simple.
kama upo jf basi nipm tutafutane. kama upo upo nje ya jf basi niinbox kuptia figganigga@jamiiforums.com. karibu sana. mia
Dah..hii whiteparty imeleta kizaazaa.. nimekupm japo sifa sina zote pengine utanifikiria