Natafuta mchumba ambaye alishawahi kuolewa akaachika

Natafuta mchumba ambaye alishawahi kuolewa akaachika

mimi ni kijana mwenye miaka 36 ninaishi dar. natafuta mchumba ambaye ametoka kwa bwana. nataka yule aliyeshindwa maisha ya ndoa.
sichagui dini wala kabila lakini asiwe amejichubua, ufupi usizidi cm 155, awe anaishi dar, umri usiwe chini ya miaka 25 na usizidi 33, asiwe anapenda mawigi na kujibandika mirangi usoni. inabidi awe simple.
kama upo jf basi nipm tutafutane. kama upo upo nje ya jf basi niinbox kuptia figganigga@jamiiforums.com. karibu sana. mia

Nakushauri utafute pia na yule ambaye alishawahi kuachika akaolewa kwa sababu naye atakuwa ana-qualify kufuatana na condition uliyoitoa!
 
figganigga mie hunitoi nje bila kupaka mekapu...mkorogo ni wangu (si unakumbuka zile soksi nyeusi)
ila vingine vyote nakwolifai! angalia piiemu mchumba!
 
Last edited by a moderator:
daaah mimi nina cm 154
kidogo ningekupata
figganigga mzee wa mia, umekula chumvi nyingi nawe anyways ngoja nijiweke sawa, achana na Smile andunje. Yani mimi naona Madame B fits in like glove..... don't worry maexperience sio lazima uolewe uachike, lol lazima JF mwaka huu wale harusi tu
 
figganigga mzee wa mia, umekula chumvi nyingi nawe anyways ngoja nijiweke sawa, achana na Smile andunje. Yani mimi naona Madame B fits in like glove..... don't worry maexperience sio lazima uolewe uachike, lol lazima JF mwaka huu wale harusi tu
ningekupata wewe ningefurahi. mia
 
Basi ndo nishakosa hivo..mpka sahiz kimya..ngoja na mimi niibuke na uzi wangu..
haraka haraka haina baraka, kwani nmekuambia deadline ishafika?. pm ni nyingi zamu yako ikifika utaona pm mwezi ukiisha hujaona kitu jihesabu umekosa. mia
 
mimi ni kijana mwenye miaka 36 ninaishi dar. natafuta mchumba ambaye ametoka kwa bwana. nataka yule aliyeshindwa maisha ya ndoa.
sichagui dini wala kabila lakini asiwe amejichubua, ufupi usizidi cm 155, awe anaishi dar, umri usiwe chini ya miaka 25 na usizidi 33, asiwe anapenda mawigi na kujibandika mirangi usoni. inabidi awe simple.
kama upo jf basi nipm tutafutane. kama upo upo nje ya jf basi niinbox kuptia figganigga@jamiiforums.com. karibu sana. mia

wanawake weng wauza gongo wameachika.wafuate hao ful burudan.
 
eh ningejitokeza ila the gud news ni kuwa sijawahi kuolewa au kushindwa ndoa, which disqualifies me otherwise ningekua shakuinbox kitambo sana
 
niandike umri kwa kirumi ndo hautaogopa?. nina miaka thelathini na sita. just nipm kama upo interested. naamin ntafanikiwa. asante dada yangu halafu pole kwa matatizo. 😛oa: mia

kumbe dada zako pia tunaapply? Iz zis vakansi applikabo still?
 
eh ningejitokeza ila the gud news ni kuwa sijawahi kuolewa au kushindwa ndoa, which disqualifies me otherwise ningekua shakuinbox kitambo sana

karibu sana. mia
 
sasa kaka hata kama ameachika kwa umalaya wewe twende kazi au kuachika kwa mazingila gani?jiweke wazi au unataka mjane?
 
figganigga mie hunitoi nje bila kupaka mekapu...mkorogo ni wangu (si unakumbuka zile soksi nyeusi) ila vingine vyote nakwolifai! angalia piiemu mchumba!
wewe unafaa. lakini ntakupa sharti la kunyoa hizo dred kama utakubali..hahahahaaaa...!!!..hapo najua utasema bora nisiolewe!. mia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom