Natafuta mchumba ambaye alishawahi kuolewa akaachika

ila mwanaume miaka 36 hujawai kuoa si utakuwa umemega sana wewe?
hapa kabila zote utakuwa umeshavisit naona...sipo tayari kula kitu used na majority namna hiyo
kama vipi, punguza miaka yako ...ulete mahari
 
Muanzisha sredi inabidi kuweka bayana kama unaye mwenza mwingine au huna, halafu ukijaaliwa kumpata utafanya yapi ili kuhakikisha hashindwi tena maisha ya ndoa akiwa nawe?
 
umezidi miezi mingapi? je wewe mlefu sababu sitaki mwanamke ambaye nikitaka kumbusu hadi niiname. mia

Hahahahahaahaha! loh , Naona Mimi utapiga magoti kabisaaaaaaa! maana naona ni ile mbegu ya baba thao si thithi thithi!
 
Muanzisha sredi inabidi kuweka bayana kama unaye mwenza mwingine au huna, halafu ukijaaliwa kumpata utafanya yapi ili kuhakikisha hashindwi tena maisha ya ndoa akiwa nawe?
mfupa uliomshinda fisi binadamu atauwezea wapi mkuu? huyu ni muzee wa mia kaa mbali
 
umeona eeeh yaani ni hao hao wanatafutana

hata mm nimehisi hivyo lol! sasa basi wasitucheleweshe kula ubwabwa tuna hamu nao toka xmass atujala pilau wenzenu fanyeni mambo mniweke mm kuwa mwenyekiti wa kamati ya maandilizi mwone mtakavyopendeza.
 
hata mm nimehisi hivyo lol! sasa basi wasitucheleweshe kula ubwabwa tuna hamu nao toka xmass atujala pilau wenzenu fanyeni mambo mniweke mm kuwa mwenyekiti wa kamati ya maandilizi mwone mtakavyopendeza.
mi matron wa kichen party
 
Sory why unataka aliyeachika,please nijibu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hahahahahaahaha! loh , Naona Mimi utapiga magoti kabisaaaaaaa! maana naona ni ile mbegu ya baba thao si thithi thithi!

mbona wapo wapale walefu tu!?. kama wewe mfupi jaribu tena baadae!. mia
 
Muanzisha sredi inabidi kuweka bayana kama unaye mwenza mwingine au huna, halafu ukijaaliwa kumpata utafanya yapi ili kuhakikisha hashindwi tena maisha ya ndoa akiwa nawe?

sina mwingine. hayo mengine ni mipango ya wawili.
 
Sory why unataka aliyeachika,please nijibu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

anajua maisha ya ndoa. yaani ana uzoefu ndo maana hata makazini wanataka watu wazoefu zaidi ya mwaka mmoja. mia
 

Dah..hii whiteparty imeleta kizaazaa.. nimekupm japo sifa sina zote pengine utanifikiria
 
Dah..hii whiteparty imeleta kizaazaa.. nimekupm japo sifa sina zote pengine utanifikiria

hii haina kufikiria mtu. wa kwanza mwenye vigezo ndo anachukuliwa. ukiona kimya ujue haujakubaliwa. mia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…