Dada huyu Rola Alexander anafaa kuwa wifi yako nizame pm? Ushauri plz
Sasa mtaa wetu si jf dadangu?🤣🤣Simfahamu hivyo at your own risk. Ila handsome kwani huko mtaani hawapo wanaokidhi vigezo vyako?
Hapa pameshaninyima wake wengi sana.awe anajishugulisha na kazi yoyote
Tulikubaliana kuwa wapinga ndoa wote ni waunga mkono ushogaSi kwa ubaya lakini, Hivi hujui kwamba WANAUME kaulimbiu yetu ya sasa ni KATAA NDOA KWA AFYA YA MWILI NA AKILI?
KATAAAA NDOAYeye kama Binadamu Mtakatifu anasemaje hapa!
hahaa sawaAh shoga angu ukimpata nipasie mmoja
Me nataka anaekaa Njiro tu
🤣🤣
😂😂😂 Rainbow flag sioTulikubaliana kuwa wapinga ndoa wote ni waunga mkono ushoga
Kasema ni mkazi wa dar lakn😂sasa huyu yuko Arusha, tayari long distance hapo😂
Wewe huna mbambamba, cha muhimu unataka mwanaume😂, hujataka ooh maji ya kundeMimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni
Wewe huna mbambamba, cha muhimu unataka mwanaume😂, hujataka ooh maji ya kunde
Mimi kama kichwa kitupu siwez kukaa kimya wacha nkujib kaka.. Achana na hizi elimu tulizonazo skuiz diproma sjui degree angalia ndoa za mama zetu wa zamani waliokua wakiolewa hawajui kusoma Wala kuandika compare na zetu tunaojiita wasomi wenye degree zipi zinadumu ? ukipata jibu kichwa kitupu niko palee njoo unijibu ..Ukitaka kuoa angalia mwanamke mwenye akili yakimaisha bro.Hizi ndio red flags zenyewee🚩🚩🚩🚩🚩
Mabaharia nendeni PM ila kichwani patupu hapa
Hahaha!!KATAAAA NDOA
Yanini??Mchiristo😳
Umli😳
Kalibuni😳
Tayal😳
Safali😳
Haya kila la kheyri
Hakuna ulipochanganya R na l. Upo Sawa tuHonest nna tatizo la kuchanganya R na l ... kikubwa si umeelewa ... ila iyo Christo yako umeongopa angalia ya kwangu ipo sawa kabisaaa
Hivi msichana huwa ni mwanamke bikra au ni mwanamke mdogo kiumri?
aki tena me mwenyewe naangalia apa ata sioni jamaa alijskia tu kucoment vibaya kwenye post yangu
Mi natafuta mwanaume mashine kama yupo humu aje PM
mke ndiye humtengeneza mume kuwa boraMimi ni Msichana mwenye miaka 26, mkazi wa Dar es Salaam Lakini kwa sasa nipo Arusha kikazi.
Natafuta mwanaume ambaye yuko tayari kutulia na kuianza safari ya ndoa.
Vigezo awe anajishugulisha na kazi yoyote awe Mkristo, kabila lolote, umri wowote , Asiwe na Mtoto.
Karibuni