umeniudhi sana!asiwe na kitambi,
Hayo masharti ni magumu sana kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, kati ya wanaume trilioni 1 duniani unanaweza kubahatisha mmoja tu nae akawa na kasuro kwenye ulaji wa tunda, lakini kwa hapa jf ukimpata mimi najitolea kulipia mahali na nyumba juu!
Hivi Flaviana Matata nae ni mzuri wa mfano wa kutaftia mme?
mimi ni msichana, natafuta mpenzi wa kweli, sitaki longolongo, awe amesoma anahold degree au masters, awe mweusi kidogo, mtanashati, awe anapenda mpira wa miguu kucheza asiwe na kitambi, awe alisoma masomo ya science sekondary.awe uptodate..asiwe mshamba mshamba, ajue kupenda kwa dhati. Awe na umri wa miaka 28 hadi 35.mimi kwa muonekano nipo kama flaviana matata. Nimesoma chuo kikuu. Nafanya kazi binafsi. Ni PM kama upo serious.
umekuwa dalali??Namjua mwenye sifa hizo lakini alisoma Arts na pia ana kitami kidogo. Atafaa?
Namjua mwenye sifa hizo lakini alisoma Arts na pia ana kitami kidogo. Atafaa?