Sasa kuifanya kazi kwa bidii inaingiaje hapa, hehe again changamoto ya afya ya akili upande wakoUjinga ulioandika hiyo ndyo reaction yake mtu mzima hovyoo ukitaka hivyo tumia mda wako kufanya kazi Kwa bidii sio udili na wanawake
Habari ya kwenu. Natafuta mchumba wa kuoa mwenye vigezo hivi.
Mwenye umri miaka 40 kwenda juu
Jinsia mwanamke
Mkristo
Asiye na uwezo wa kuwa na watoto
Mwenye tabia nzuri. Ukiwa na tabia mbaya hatutadumu kwenye mahusiano.
Anayejaza vigezo hivyo Ani PM namba yake
Mi nko sawa akili Iko more reactive sababu I'm stronger man wew unaonyesha udhaifu sana Sasa mwanamke asiye zaa wanin,Sasa kuifanya kazi kwa bidii inaingiaje hapa, hehe again changamoto ya afya ya akili upande wako
Ukiwa unajitambua huwezi taja sifa labda sijui wap ukooo ndyo watakuelewaKwanini unamuharass?
Kila mtu ana Uhuru WA kuchagua anachotaka
Hama kweli npo seriously kabsaNa mimi nataka mgumba mwanamke mwenye miaka 30 au chini ya umri huo.Nipo serous
He he heUnataka wanini