Natafuta mchumba awe anaishi Dar

Natafuta mchumba awe anaishi Dar

Huwa nashangaa mtu kutafuta mke au mchumba mitandaoni nachojiuliza kuanzia kazini, mtaani,barabarani au hata sehemu za starehe kama ni muhudhuriaji wenza wanakosekana, au kuna kitu hakipo sawa?
Kuna kitu hakiko sawa,
 
Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar
Umri 20-35.
Umri wangu 32.
Asiwe slay queen.
Ajue thamani ya mwanaume

Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
Doh mashangazi Bado zamu yetu
 
Mimi ni mwanaume natafuta mchumba awe anaishi dar
Umri 20-35.
Umri wangu 32.
Asiwe slay queen.
Ajue thamani ya mwanaume

Mwanamke serious anifate inbox aache kuchat chat hapa.
35 sasa huoni atakubemenda au 7natafuta jishangadhi lakukulea
 
Back
Top Bottom