,.. KweHuu ndio uhalisia wa maisha ya kisasa. Win win situation
Ni vizuri vijana ....ila ndomana kwenye ndoa aijulikani mwanaume nani na mwanamke nani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
,.. KweHuu ndio uhalisia wa maisha ya kisasa. Win win situation
Andiko lako linaashiria hiyo ni furaha yako mkuu na ndo maana ukajinasib kuwa una m300 networth assetsNani kakwambia kuoa ndio furaha ya maisha?
Unakuaje na pesa halafu ukose furaha??
#YNWA
Hii ni life partner or business partner anatafutwa 🤣🤣Habari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..
Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..
Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.
Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.
Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Huna akili weweHabari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..
Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..
Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.
Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.
Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Hii ni life partner or business partner anatafutwa 🤣🤣
Cyo Tz yetu labda mbele hukooMke ni msaidizi.. lazima ujue marriage ni transactional
Je wewe😂 Naagiza ukamatwe mara moja kichwa wewe😅😅