- Thread starter
- #101
We jamaa una akili
Mahusiano yamekuwa transactional nowdays.. inabidi tuucheze mziki kwa kufata biti linavyoenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa una akili
Ukipata lete mrejesho,ulipata tupiamo mrejesho kwa jukwaa😂Habari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..
Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..
Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.
Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.
Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Big UpMnamshambulia bure mleta mada, ila kuna kitu amemaanisha na ni cha msingi sana. Watu mna vigezo lukuki vya kutafuta wenza ukimuuliza we una nini utabaki kucheka tu.
Hasa wanawake sisi ni tatizo sana. Kila mtu anadeserve anachofanana nacho au anachokaribiana nacho.
Habari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..
Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..
Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.
Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.
Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Ndugu unatafuta mke au unatafuta wa kukulea? Wanaume hatunaga masharti ya hivyo, hayo mambo ya kike ili ajihakikishie usalama kwenye nyanja ya uchumi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi ulifanikiwa kupata mwenye hiyo Net worth? If not punguza sharti kidogo tupo wenye Net worth ya 1.5M , hivi mali za mwanamke ni za nini kwenye maamuzi ya mahusiano? Hutaki utegemezi ama? Unajua sharti mlilopewa na Mungu la kula kwa jasho?
AiseeWewe upo sure una nert worth ml 300.
Au unatuzingua wewe .
Sikia kipenzi naweza kukupa binti 26 years ni mmalawi ana nertworth ml 500 zakwao na ml 2.1 dola hajionyeshi anamiliki kampuni tatu za utalii hapa Tanzania.
Ila anataka mume asiwe anaenda kazini awe kama mama nyumbani kumpokea kuhakikisha amekula . Ameoga umempa huduma zote kama mwenza wake kila mwezi anakulipa laki 5 kama asante ya kila mwezi .
Sikia ndugu unatuchora huna hela unataka utishie jamii na wakuwaze matajiri hawajisemi ona binti mmbichi kama yule hat forbes hajulikani ila katulia anakula mema ya nchi wewe sema unatafuta mke mwenye akili atumie hela kwa akili sio afute kama mchwa .
Afterall maisha ni kuchagua
Jf iinavituko
Hizo neti wesi zenu Una uhakika zitasimama hivyo hivyo miaka yote?
😂 Naagiza ukamatwe mara moja kichwa wewe😅😅Wewe upo sure una nert worth ml 300.
Au unatuzingua wewe .
Sikia kipenzi naweza kukupa binti 26 years ni mmalawi ana nertworth ml 500 zakwao na ml 2.1 dola hajionyeshi anamiliki kampuni tatu za utalii hapa Tanzania.
Ila anataka mume asiwe anaenda kazini awe kama mama nyumbani kumpokea kuhakikisha amekula . Ameoga umempa huduma zote kama mwenza wake kila mwezi anakulipa laki 5 kama asante ya kila mwezi .
Sikia ndugu unatuchora huna hela unataka utishie jamii na wakuwaze matajiri hawajisemi ona binti mmbichi kama yule hat forbes hajulikani ila katulia anakula mema ya nchi wewe sema unatafuta mke mwenye akili atumie hela kwa akili sio afute kama mchwa .
Ili😂 Naagiza ukamatwe mara moja kichwa wewe😅😅
Habari wadau.
Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.
Masharti ni awe na asset net worth 150m.
Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.
Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.
Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..
Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..
Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.
Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.
Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Nani kakwambia kuoa ndio furaha ya maisha?...... ki m300 kisicho weza kukupa furaha ya maisha!
Si bora ungekuwa huna tu mkuu