Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Ninaamini umeenda shule ndio maana upo humu.

Net worth haimaanishi pesa zipo cash

Wakisema mo dewji ana net worth ya 1 trilioni.. haina maana kwamba anazo hizo pesa cash ama bank. Bali ni thamani ya rasilimali zake ukitoa madeni anayodaiwa.

Mimi kusema awe na net worth ya 150m sijamaanisha awe na hizo pesa cash. Bali awe na rasilimali zenye hiyo thamani kuprove anajua kutunza pesa na mali. Sio aje kujifunzia kwangu.

Nataka mahusiano yenye win win pande zote sio mimi ni loose yeye a win kwa kutumia asset zangu. Ama yeye aloose mimi ni win. Nataka wote tufaidike na mahusiano ama ndoa na kuleta kizazi kilichonyooka. Sio mambo ya kuuana ili mtu arithi mali. Kila mtu awe hana njaaa

Kumiliki mali ama pesa ni kipimo cha akili. Hapo namaanisha nahitaji akili yake maana atakuwa anajua jinsi ya kutafuta pesa na kukuza pesa.
Mkuu, nakubaliana na wewe 100% wakati wenu msikubali kupe au chawa. Ukiwa na mwanamke mtegemezi ata drain resources zako na kuku pull kwenye umasikini. SIMAMIA HII IDEA YAKO NZURI NA BORA

Kwa kukomaza idea yako soma uzi huu hapa chini:

 
Sasa huyo binti yako anataka mume au mke,yaani mume akae ndani,aandae maji na chakula ndiyo unasema umeoa?

Haha [emoji1] [emoji1787] [emoji23] [emoji38] [emoji1] [emoji1787] [emoji23]
Sio binti yangu couse sijampita kivile ni mdogo wangu siwezi kumzaa ila yes anataka akukute hufanyi kitu aisee .
1. Asubuhi unamwamsha mke wako nakuwaambia wafanyakazi wamuandalie breakfast.
2. Anakupa kadi ambayo unaweza kufanya shoppinga nakwenda saloon kujiweka sawa anakupa kadi ya kwenda mazoezi kuweka mwili sawa.
3. Kila baada ya miezi sita mnapima afya.
4. Mchana utakula mwenyewe ila ijioni kabla hawajapika chakula chake unamwambia anataka kula nini .
Unawaambia wapike akija unamkaribisha home anaoga basi mnakula cha ijioni halafu unatoa fulsa ya kumridhisha mnalala.
Hapendi kelele chumbani hata ya simu .
So pawe kimya .
Ukimiss kelele nenda chumba ch atv ni bullet proof basi .
Ila baada ya kumridhisha .
So ndio hivyoo hutaki tambaa .
 
Hela zote hizo na bado unakosa mwanamke unaemtaka mkuu?
Kuna tatizo mahali
 
Wewe upo sure una nert worth ml 300.
Au unatuzingua wewe .
Sikia kipenzi naweza kukupa binti 26 years ni mmalawi ana nertworth ml 500 zakwao na ml 2.1 dola hajionyeshi anamiliki kampuni tatu za utalii hapa tz.
Ila anataka mume asiwe anaenda kazini awe kama mama nyumbani kumpokea kuhakikisha amekula . Ameoga umempa huduma zote kama mwenza wake kila mwezi anakulipa laki 5 kama asante ya kila mwezi .

Sikia ndugu unatuchora huna hela unataka utishie jamii na wakuwaze matajiri hawajisemi ona binti mmbichi kama yule hat forbes hajulikani ila katulia anakula mema ya nchi wewe sema unatafuta mke mwenye akili atumie hela kwa akili sio afute kama mchwa .
😂😂😂Hapo anaolewa sio kuoa
 
Wewe upo sure una nert worth ml 300.
Au unatuzingua wewe .
Sikia kipenzi naweza kukupa binti 26 years ni mmalawi ana nertworth ml 500 zakwao na ml 2.1 dola hajionyeshi anamiliki kampuni tatu za utalii hapa tz.
Ila anataka mume asiwe anaenda kazini awe kama mama nyumbani kumpokea kuhakikisha amekula . Ameoga umempa huduma zote kama mwenza wake kila mwezi anakulipa laki 5 kama asante ya kila mwezi .

Sikia ndugu unatuchora huna hela unataka utishie jamii na wakuwaze matajiri hawajisemi ona binti mmbichi kama yule hat forbes hajulikani ila katulia anakula mema ya nchi wewe sema unatafuta mke mwenye akili atumie hela kwa akili sio afute kama mchwa .
Sasa umeandika nn
 
Tsh 300G ni utajiri wa kawaida kwa sasa. Vijana wengi wanamiliki tena zaidi ya huo na tupo nao kijiweni tunakunywa kahawa, kucheza bao na kutongoza ke kama kawaida.
1. Mshkaji anamiliki viwanja center vyenye thamani ya m200. Madalali kila siku wanahangaika kumshawishi auze ila kaamua kukodishia watu kama yard na jingine ni parking ya kulaza daladala . Kwa siku anakunja 200k akiwa amekaa.
2. Mwingine kaachiwa urithi karibu 1.2bn na anaendeleza poa tuu na demu wake ambaye hana hata 50G.
3. Dogo kapewa fungu lake : nyumba mbezi beach na sinza. Ya mbezi anakuja kodi toka medical sem fronteira ya 1,000USD kwa mwezi na yupo cool tuu.
4. Mashamba Hekari (siyo ekari) 100 hapo moro worth more than 400 plus several agricultural machineries, kaoa graduate hana hata mia,
5. Tulikuwa naye mgodini akapiga jiwe yenye pesa ya laana mererani . Anasimama kwenye 2bn kwenye real estate na yupo na mkewe ambaye wala hakuwa na m1 na ana run poa tuu.
6. Mende 4 kijiweni plus nyumba mbili na tunakaa juu ya gogo la mnazi kijiweni na pisi yake alianza nayo inamiliki tuu mbususu ila ikaratibu vyema biashara za jamaa na waliachana wala hakudai hata nauli. Jamaa akaoa gold digger anayemiliki kama 50G na wakashindwana demu akadai apewe nyumba kisa ana kichanga .
Hivyo punguza mchecheto kijana, tafuta mwanamke ambaye yupo bright upstairs na siyo anayemiliki walau nusu ya utajiri wako

Yah,
Kuna mahali ukisema una utajiri wa 2 bilioni us dolars watu wanasema ni utajiri wa kawaida sana.
 
Habari wadau.

Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.

Masharti ni awe na asset net worth 150m.

Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.

Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.

Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..

Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..

Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.

Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.

Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Mkuu umeanzisha vita ya 4 sasa ya kidunia ngoja waje [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu wengi naona mnamponda jamaa ila mi naona yupo sahihi maana kila mtu ana maamuzi yake binafsi .

Yeye anataka wa hivyo na si kwamba hawapo wapo wengi tu mwisho wa siku atapata wa kuendana naye .

Nimependa msimamo wake aisee japo kuna wadau mnakuja na stori za kusadikika
 
Mtu amejiunga JF since 2011 unakuwa na doubt ya networth hyo[emoji44] ukiwa na lodge mbili tuu tayar ushaifikia
Wengi hawajui maana ya networth wanadhani ni zile pesa zilizopo benki [emoji23][emoji23] .
 
Maisha hatufanani choice. Na wanawake hampendi wanaume wakweli mnapenda waongo waongo. Kwa ushauri wangu. Sio lazima unitake mimi hata kwa wengine tumia akili kuwa kwenye mahusiano na mtu. Wanaume walengaji sana siku hizi. Wanachuna sana wadada. Hasa wadada wenye urithi mkubwaa ama kazi nzuri wanawindwa sana na ma mario wa mjini

Ukweli Kama una hiyo net worth ama zaidi nakushauri utafute aliyekuzidi ama mpo sawa. Ili usije ukafaidisha watu wajinga in the name of love. Watakuja ma Mario na kukupeti petii kwa malavidavi mwisho wa siku wanakunyonyaa then wana kudump

Sio wanaume sio wanawake dunia imechafuka sana. Linda utajiri wako uliopewa na Mungu kwa akili kubwa.

Pili mwanamke mwenye hiyo net worth ni rahisi sana kujenga naye maisha maana majukumu ya ndugu zake anayafanya mwenyewe na hata mimi mwanaume majukumu ya ndugu zangu nayafanya mwenyewe.. sio unatembea na mtu anakuletea shida za ukoo wake wote zitatuliwe kwa pesa alizozikuta kwako. Mwisho wa siku anakurudisha nyuma kwa kukufilisi
We jamaa una akili
 
Back
Top Bottom