Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Natafuta mchumba awe mke. Masharti awe na asset net worth 150m

Habari wadau.

Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.

Masharti ni awe na asset net worth 150m.

Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.

Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.

Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..

Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..

Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.

Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.

Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Mambo ya win-win sichueshon!Kaza sana mzee baba.Unyonyaji uishe nchi hii!😂😂😂
 
Wachumba wanyonyaji wale wadada wa tuma na ya kutolea wamekimbia uzi wana pita kimya kimya
Boss hatuna hiyo hela ndio mana tumepiga kimya. Wenye nazo wanakuja kuwa na subira.
 
Tsh 300G ni utajiri wa kawaida kwa sasa. Vijana wengi wanamiliki tena zaidi ya huo na tupo nao kijiweni tunakunywa kahawa, kucheza bao na kutongoza ke kama kawaida.
1. Mshkaji anamiliki viwanja center vyenye thamani ya m200. Madalali kila siku wanahangaika kumshawishi auze ila kaamua kukodishia watu kama yard na jingine ni parking ya kulaza daladala . Kwa siku anakunja 200k akiwa amekaa.
2. Mwingine kaachiwa urithi karibu 1.2bn na anaendeleza poa tuu na demu wake ambaye hana hata 50G.
3. Dogo kapewa fungu lake : nyumba mbezi beach na sinza. Ya mbezi anakuja kodi toka medical sem fronteira ya 1,000USD kwa mwezi na yupo cool tuu.
4. Mashamba Hekari (siyo ekari) 100 hapo moro worth more than 400 plus several agricultural machineries, kaoa graduate hana hata mia,
5. Tulikuwa naye mgodini akapiga jiwe yenye pesa ya laana mererani . Anasimama kwenye 2bn kwenye real estate na yupo na mkewe ambaye wala hakuwa na m1 na ana run poa tuu.
6. Mende 4 kijiweni plus nyumba mbili na tunakaa juu ya gogo la mnazi kijiweni na pisi yake alianza nayo inamiliki tuu mbususu ila ikaratibu vyema biashara za jamaa na waliachana wala hakudai hata nauli. Jamaa akaoa gold digger anayemiliki kama 50G na wakashindwana demu akadai apewe nyumba kisa ana kichanga .
Hivyo punguza mchecheto kijana, tafuta mwanamke ambaye yupo bright upstairs na siyo anayemiliki walau nusu ya utajiri wako
Yes, kama sie hapa tupo vizuri ila kwa huyu mshikaji simtaki hata kwa dawa i need someone who understands me nitampata tu popote na atakuwepo somewhere
 
Mtu amejiunga JF since 2011 unakuwa na doubt ya networth hyo😲 ukiwa na lodge mbili tuu tayar ushaifikia
Mwache watakuja matapeli watamdangisha hichi kipesa atakuja lia humu na barua ndefu yakujiua
 
Habari wadau.

Natafuta mchumba wa kike tukielewana awe mke.

Masharti ni awe na asset net worth 150m.

Age awe 32 kushuka chini. Asizidi 32.

Nimesema asset awe nazo sababu sitaki mnyonyaji.. mahusiano ama ndoa iwe na win win pande zote.

Binafsi ninamiliki asset net worth 300m. Sasa mtu ambaye hata nusu yangu hana naona atakuwa mnyonyaji..

Uzuri ama urembo sio kigezo kwangu mradi mbususu uwepo tu. Ila net worth hiyo na age ni lazima..

Wanawake wa siku hizi wanaolewa sana kimkakati.. na sisi wanaume tumewashtukia tunaenda nao kimkakati.

Mtu ambaye hana hata nusu ya net worth uliyenayo mwanaume naona kabisa ni mnyonyaji. Mahusiano yanapaswa yawe na win win pande zote.

Mbususu kila mwanamke anao.. haupaswi kuwa kigezo muhimu kuliko mpunga
Net worth 300m afu uhangaike kutafuta mke huku JF.?? wajinga ndio waliwaoooo. Mtu mwenye pesa km hiyo lazima ana marafiki wa kike na kiume ambao wote wapo stable financially
 
300m net worth sio tajiri wa kuandikwa forbes. Hiyo 300m ni mafao ya mbunge ya miaka mitano tu.

Unashangaa nini mtu kuwa na net worth hiyo.. na huku vijana wa siku hizi tunazaliwa na wazazi wafanyakazi, wanasiasa etc ambao wanaturithisha mali zao pindi wanapofariki. Na pia tunaanza kazi ama biashara mapema.

Forbes sio wapumbavu wakuandike kisa una net worth hiyo.

Binafsi ninayo net worth hiyo. Ila mtu ambaye hana hata nusu yangu sitaki kabisa anisogeleee.. mwendo ni win win tu
Ukiliwa hela kisiasa zaidi usije ukalia huku na barua ndefu endelea kujinadi humu na pafahamu vizuri
 
Net worth 300m afu uhangaike kutafuta mke huku JF.?? wajinga ndio waliwaoooo. Mtu mwenye pesa km hiyo lazima ana marafiki wa kike na kiume ambao wote wapo stable financially

Maisha hayana formula. Na mchumba anapatikana popote.
 
Net worth 300m afu uhangaike kutafuta mke huku JF.?? wajinga ndio waliwaoooo. Mtu mwenye pesa km hiyo lazima ana marafiki wa kike na kiume ambao wote wapo stable financially
Ukiliwa hela kisiasa zaidi usije ukalia huku na barua ndefu endelea kujinadi humu na pafahamu vizuri
Ukiliwa hela kisiasa zaidi usije ukalia huku na barua ndefu endelea kujinadi humu na pafahamu vizuri
Nashangaa haijanijia akilini hilo wazo
 
Ukiliwa hela kisiasa zaidi usije ukalia huku na barua ndefu endelea kujinadi humu na pafahamu vizuri

Ninaamini umeenda shule ndio maana upo humu.

Net worth haimaanishi pesa zipo cash

Wakisema mo dewji ana net worth ya 1 trilioni.. haina maana kwamba anazo hizo pesa cash ama bank. Bali ni thamani ya rasilimali zake ukitoa madeni anayodaiwa.

Mimi kusema awe na net worth ya 150m sijamaanisha awe na hizo pesa cash. Bali awe na rasilimali zenye hiyo thamani kuprove anajua kutunza pesa na mali. Sio aje kujifunzia kwangu.

Nataka mahusiano yenye win win pande zote sio mimi ni loose yeye a win kwa kutumia asset zangu. Ama yeye aloose mimi ni win. Nataka wote tufaidike na mahusiano ama ndoa na kuleta kizazi kilichonyooka. Sio mambo ya kuuana ili mtu arithi mali. Kila mtu awe hana njaaa

Kumiliki mali ama pesa ni kipimo cha akili. Hapo namaanisha nahitaji akili yake maana atakuwa anajua jinsi ya kutafuta pesa na kukuza pesa.
 
Yes, kama sie hapa tupo vizuri ila kwa huyu mshikaji simtaki hata kwa dawa i need someone who understands me nitampata tu popote na atakuwepo somewhere

Maisha hatufanani choice. Na wanawake hampendi wanaume wakweli mnapenda waongo waongo. Kwa ushauri wangu. Sio lazima unitake mimi hata kwa wengine tumia akili kuwa kwenye mahusiano na mtu. Wanaume walengaji sana siku hizi. Wanachuna sana wadada. Hasa wadada wenye urithi mkubwaa ama kazi nzuri wanawindwa sana na ma mario wa mjini

Ukweli Kama una hiyo net worth ama zaidi nakushauri utafute aliyekuzidi ama mpo sawa. Ili usije ukafaidisha watu wajinga in the name of love. Watakuja ma Mario na kukupeti petii kwa malavidavi mwisho wa siku wanakunyonyaa then wana kudump

Sio wanaume sio wanawake dunia imechafuka sana. Linda utajiri wako uliopewa na Mungu kwa akili kubwa.

Pili mwanamke mwenye hiyo net worth ni rahisi sana kujenga naye maisha maana majukumu ya ndugu zake anayafanya mwenyewe na hata mimi mwanaume majukumu ya ndugu zangu nayafanya mwenyewe.. sio unatembea na mtu anakuletea shida za ukoo wake wote zitatuliwe kwa pesa alizozikuta kwako. Mwisho wa siku anakurudisha nyuma kwa kukufilisi
 
Mnamshambulia bure mleta mada, ila kuna kitu amemaanisha na ni cha msingi sana. Watu mna vigezo lukuki vya kutafuta wenza ukimuuliza we una nini utabaki kucheka tu.

Hasa wanawake sisi ni tatizo sana. Kila mtu anadeserve anachofanana nacho au anachokaribiana nacho.
 
Mnamshambulia bure mleta mada, ila kuna kitu amemaanisha na ni cha msingi sana. Watu mna vigezo lukuki vya kutafuta wenza ukimuuliza we una nini utabaki kucheka tu.

Hasa wanawake sisi ni tatizo sana. Kila mtu anadeserve anachofanana nacho au anachokaribiana nacho.

Asante kwa kunielewa. Pesa ni kipimo cha akili
 
Back
Top Bottom