Natafuta mchumba(future husband)

Status
Not open for further replies.
ukiongeza mwenye nguvu za kiume utanshtua
 
Wacha wadau wafanye rescue mission Mkuu.... Au hutaki familia ya JF iongezeke
Nani humu ana vigezo lundo hivyo[emoji2] [emoji2] [emoji2] .....labda afanye compromise ya vigezo vingine.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ....kuna masharti kama job description ya kazi kwa mchina [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
 
Usiogope vigezo Mkuu.... Kama umemuelewa nenda PM mkayajenge. Hivi vitu havina formula sometimes vinachanganya sana
 
Usiogope vigezo Mkuu.... Kama umemuelewa nenda PM mkayajenge. Hivi vitu havina formula sometimes vinachanganya sana
hapana mkuu mimi sijamuelewa na imani pia nae hajanielewa[emoji12] [emoji12]
 
Nerd.......................................
 
Weka picha mama isijekuwa wewe ni bibi bomba maana kwa umri wako na elimu hiyo inaonyesha umekomaa sana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…