Naitwa Janeth Shawa miaka 29, ninatafuta mchumba mwenye mapenzi ya kweli umri kati ya miaka 29 mpaka 40 ambaye yupo tayari kuingia kwenye ndoa,Ambaye hana mke,akiwa na mtoto au watoto sio tatizo,Awe mtanzania,Sichagui Elimu,dini,rangi wala kabila,ambaye atakuwa tayari tuanzisha familia,awe tayari tupime ukimwi.Mimi kwa sasa naishi na kufanya kazi Marekani(USA),si lazima awepo hapa Marekani hata akiwa Tanzania au popote pale kwangu haina shida kwa sababu tutajitahidi kwa pamoja tuonane.
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa
Tafadhali naomba kwa aliye serious tu aniandikie kwenye email hii;
j-shawa@live.com au anitafute kwenye facebook: http://www.facebook.com/janeth.shawa