Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmmh bibie unasound kitapeli na utampata tapeli mwenzio,
Upo tayari kuwa mke wangu wa 3?..
haujasoma vizuri vigezo
Hahaha, we mdada una maneno kuntu!na vizuri unatumia mtandao wa tigo na huyo ndo anataka watu kama ninyi muende mkamuongezee kipato....kwea pipa mzee namba yako ikatumike vizuri
hahaha, we mdada una maneno kuntu!
uko US? subiri kupata mails za vijana wapenda pesa!
tuheshimiane me sio mdada ..afu usipende kutaja jinsia ya mtu humu coz mwingine anajiita halima hapa kumbe john kama wewe rafadhali mkuu ...umeniudhi yani naangalia dushelele yangu na ulichoandika hapo dah! Nitake radhi
Je wewe unaweza "uwazi na ukweli?" ... courage hiyo unayo?i see
uwazi na ukweli
acha ushamba wewe! kama huna shida timua wwache wenye shida zaoJF imeingiliwa....huko FB umekosa?
wewe jamaa kilaza sana,ficha upumbavu wako asubuhi hiiHaiwezekan unamiaka 28 then upo USA alaf haujaolewa lazima kunasababu maalumu umetuficha...kama sio hivyo basi kuna kitu cha siri unataka kuwafanyia watakaokukubali maana mapenz ya online wachache sana wanakuwa wakwel
Je wewe unaweza "uwazi na ukweli?" ... courage hiyo unayo?
acha ushamba wewe! kama huna shida timua wwache wenye shida zao
hili jukwaa limewekwa la nini? wewe unae? hata kama unae ni kimeo tu kama wewejanga la kitaifa! Na ww umekosa nn mbn imekuuma sana?