Natafuta Mchumba/Mume

Natafuta Mchumba/Mume

Unaweza kuta hata yeye mwenyewe degree haimsaidii kwa maisha ya kawaida, na unaweza kuta mtu ana degree
lakini maisha anayoishi na tabia zake aio kabisa mapenzi na ndoa ni zaidi ya degree
 
Kwaio kabla mahusiano inabd mkaguane vyet na raslimali??

Anyway kila la kher but atakaye jitokeza awe na uhitaj wa mwanamke sio wanawake uku upendo ukitawala kat yenu.
Mi mwenyew kanishangaza sana.....yani anaona degree ni big issue sana katika ndoa!!!??? Yani kivip?? Et awe amejiajir!!??? Watu wanapenda wakioana waanze wote from zero na huko ndiko chemi chemi za mapenz ya kweli zilikojificha bhana.
 
Mtu kaweka vigezo yake mnaishia kuponda,nye kama hamfikii si mkae kimya!wabongo tunachukulia sana vitu vidogo kuwa serious,kwani lazima uwekewe vigezo unavyotaka wewe?

Mbona kama mi napenda mwembamba,wengine wanapenda chura,wengine mweupe,tatizo lipo wapi hapo! Mtu kaweka vigezo vyake huwezi usitoe mapovu kaa kimya kila mtu ana uhuru wake huwezi kumpangia unachotaka wewe
 
Mi mwenyew kanishangaza sana.....yani anaona degree ni big issue sana katika ndoa!!!??? Yani kivip?? Et awe amejiajir!!??? Watu wanapenda wakioana waanze wote from zero na huko ndiko chemi chemi za mapenz ya kweli zilikojificha bhana.
Ndiyo wale unakuta mtu tayari anamkewe anaanza kuvuruga ndoa za mwenzio kujibebisha tu, ngoja tutulie sie tuangalie mechi za wataka waume degree
 
Endeleeni kuwa na huo mtazamo ndio maana ndoa zenu hazikawii ku dedi,

Pesa sio kigezo cha uhusiano imara au ndoa imara,
Utake usitake pesa inaongeza chachu ya mapenzi. Sidhani kama k-ylin alikua na mapenzi ya dhati na yule babu lakini pesa zimefanya mwanadada asione uzee. Hata huyo mpenzi wako watu watatafuna tu kama utakua huna pesa ya mahitaji yako na yake
 
  • Thanks
Reactions: sab
Utake usitake pesa inaongeza chachu ya mapenzi. Sidhani kama k-ylin alikua na mapenzi ya dhati na yule babu lakini pesa zimefanya mwanadada asione uzee. Hata huyo mpenzi wako watu watatafuna tu kama utakua huna pesa ya mahitaji yako na yake
Hebu elewa nachosema mkuu, pesa sio kigezo cha uhusiano bora wala ndoa imara, sijui unanielewa?????
 
Mkiamuaga kutetea ujinga mnakuwaga wabishi sana hata ukweli mnaupinga nakujifanya hamuoni
Haya na ukapuku wako kampende mtoto mzuri naye atakupenda sana na njaa zako na atawachukia sana wanaojiweza
 
Vigezo vya kusema awe na elimu vinawafanya mkose wachumba

Ukumbuke anae hitaji kuoa anaweza kuwa darasa la wengi na akawa na uhitaji wa mke ila ukapishana kwa kuwa unataka mwenye digree


Kama huna degree usilie mkuu, we tafuta type yako tu
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Natafuta mume;
1. Awe mkristu
2. Awe ana degree na kuendelea
3. Awe mwajiriwa au amejiajiri
4. Umri kuanzia 33 yrs na kuendelea

Kwa upande wangu, mimi ni mkristu,nina degree, ni mfanya biashara
Kwa mwenye uhitaji kama wangu njoo PM tuyajenge
Miaka ninayo 25 vingine vyote nanavyo kwa kukazia (nyumba, gari, own business but nimeajiliwa) , nijibu kabla sijaja PM.
 
Kiukweli hapa ndio kasoro zao zinapojidhihirisha wadada watafuta wachumba, Nikiwa la saba ila nina shamba langu la urithi ambalo limeniwezesha kumiliki mkwanja mrefu ambao umeajiri wenye degree huko shambani siwezi kumtunza yeye na kadegree kake uchwara kalikoshindwa kumjuza kuwa ngazi fulani ya Elimu sio kigezo ktk mapenzi ya kweli???

Ukiwakuta mtaani wanaringa na nyodo kibao, lakini ukiwapa lift njiani wala hawasemi ninadegree siwezi kuendeshwa na wa la saba..!!!

nawahurumia sana hawa dada zetu, wacha waendelee kumaliza Bundle...



Duh hivi povu lote hili kisa ni degree ya wadada!?

Kwani hawastaili kuwa nazo?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Natafuta mume;
1. Awe mkristu
2. Awe ana degree na kuendelea
3. Awe mwajiriwa au amejiajiri
4. Umri kuanzia 33 yrs na kuendelea

Kwa upande wangu, mimi ni mkristu,nina degree, ni mfanya biashara
Kwa mwenye uhitaji kama wangu njoo PM tuyajenge
ID yako ya siku zote/zamani iliyozoeleka humu ni ipi?

Huwa nafikiria sana kwa nini mnaleta matangazo sensitive kama haya kwa ID mpya, ID ya zamani ingekuwa bora zaidi maana huenda tunakujua humu jamvini vizuri sana.

Kila la kheri Mungu akujalie upate hitajio la moyo wako
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Natafuta mume;
1. Awe mkristu
2. Awe ana degree na kuendelea
3. Awe mwajiriwa au amejiajiri
4. Umri kuanzia 33 yrs na kuendelea

Kwa upande wangu, mimi ni mkristu,nina degree, ni mfanya biashara
Kwa mwenye uhitaji kama wangu njoo PM tuyajenge
Vigezo vyote ninavyooo karibu pm tuyajenge
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema
Natafuta mume;
1. Awe mkristu
2. Awe ana degree na kuendelea
3. Awe mwajiriwa au amejiajiri
4. Umri kuanzia 33 yrs na kuendelea

Kwa upande wangu, mimi ni mkristu,nina degree, ni mfanya biashara
Kwa mwenye uhitaji kama wangu njoo PM tuyajenge
Upo wapi now
 
Back
Top Bottom