Natafuta Mchumba/Mume

Ukiwa la saba tafuta wa la saba pia..
 
Duu! umri unanikosesha mke ningewahi kidogo kuzaliwa ingekuwa mbashala kabisa!
 
umeshaona contact
 
pm.tayari
 
Haya na ukapuku wako kampende mtoto mzuri naye atakupenda sana na njaa zako na atawachukia sana wanaojiweza
Naona uelwa wako hafifu juu ya haya mambo, wewe endeleo na itikadi zako tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…