Natafuta mchumba (mwanamke)

Babiki wa pepe Gadiola usimkatishe tamaa ndugu yako hivo bhana.
niliwalenga watu wa aina yake kwenye hili andiko la abnomality test with real life reflection test intentions.
 
Miaka 40 mbona umeandika ngojera nyingi sana?
 
Eeh kwa Cv hii
Tufanye tu mishe zingine...
Aisee!!! Ukikoswa koswa kwenye Maumbile unapatwa kwenye Elimu, hujakaa sawa ohooo unaambiwa nyonyo lisilale , ukigeuka huku unaambiwa ooh kilometa zimesonga....
Nyonyo linasimama na Km zinapunguzwa. Dr. nipo hapa. Hamna kitu kinashindikana.
 
Shunie aunty yangu usijesema sikupendi🀣🀣🀣
 
Kibabu cha miaka 40 kinataka nyonyo ngumu ngumu mwenye nalo akuje huku mala mojaaa
 
Vigezo kama Uko kiwandani unatoa Order Babu [emoji1787]
 
Ni 40 yrs inaongea aisee wee buloo,uko vizuri, uzalamoni mnajua kuongea
 
Domo zege mtaani, kazini, vibanda umiza, kanisani, sokoni, barabarani.....huko kote hujaona mademu????

Kwa taarifa yako jf kuna wamama waliolewa,wake za watu ,single maza walioshindikana ,....
Wewe una mawazo mgando Sana we endelea na mentality yako ya kijinga wenzako humu humu wanapata wenza halafu Kama huna Cha kucoment sj ulale eti humu Hakuna sio kweli wengi nawajua na wameoana Kama wewe ulikosa.ni wewe nyamazaaaaaa
 
Yaani umeponda raha kwa miaka yote hiyo, leo hii unataka kabinti ka kueleweka[emoji3]

40 yrs si haba, bado nina safari ndefu kwa kweli

Ujumbe: Kataa ndoa, ndoa ni maumivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…