Kamwe sitaacha kuwaelisha Mbululaa kama wewe.Kama huamini jili jukwaa kwa nini unaingiaaa??acha ujingaaa.Kama Roho inakuuma Watu.kupendana humu basi andamana kwenye uongozi wa JF kuliko kuwakatisha wenzio tamaa.Kwa taarifa yako.Watu humu wanapendana ma wanaoana.Ni.kama mtaani.Bullshit!kwani
kwann uje kutafuta humu jf,, inamana 1)hutongozwi 2) unapenda mtu wa mtandaoni 3)unamajaribu ?
Hata kama anatongozwa unampangiaaa.We VP.acha ujingaaa.Naenda jukwaa.la mapishi ukajifunze kupika Bagiaaaaaa.Tuachie jukwaa.letu.Umelazimishwaaaa.Nyie Ndo wachawiiiihamnaa fursaa hapo,hvi bro kwa akili ya kawaida,kuna msichana asiyetongozwa?
we unataka fursaa kuptia kunisema mm,,ucjr utapata mzgoHata kama anatongozwa unampangiaaa.We VP.acha ujingaaa.Naenda jukwaa.la mapishi ukajifunze kupika Bagiaaaaaa.Tuachie jukwaa.letu.Umelazimishwaaaa.Nyie Ndo wachawiiii
acha kuishi kwa nazariaKamwe sitaacha kuwaelisha Mbululaa kama wewe.Kama huamini jili jukwaa kwa nini unaingiaaa??acha ujingaaa.Kama Roho inakuuma Watu.kupendana humu basi andamana kwenye uongozi wa JF kuliko kuwakatisha wenzio tamaa.Kwa taarifa yako.Watu humu wanapendana ma wanaoana.Ni.kama mtaani.Bullshit!
Mfupi futi nne mjapani, nilisikitika ndani ya moyo, nikakosa la kufanya. Nilitamani nilie kikamba lakini sikijui. Ikabidi nilie kijaluo, amatima ngoa choa, Freshly.Stela alishuka amebeeba mtoto mgongoni,nyuma yake mchumba wake flan,toka jamiiforum..
Uko.late 30's au late 20's??Habari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.
- Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
- I am in my late 30's
- Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
- Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
- Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
- Situmii kilevi cha aina yoyote
- Mengine tutaelezana PM
Miaka 23,Uko.late 30's au late 20's??
Kabila...??
Weakness zako.ni zipi??
Nicheki PMUko.late 30's au late 20's??
Kabila...??
Weakness zako.ni zipi??
Tuma picha yako pm kisha tuendeleeHabari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.
- Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
- I am in my late 30's
- Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
- Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
- Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
- Situmii kilevi cha aina yoyote
- Mengine tutaelezana PM
Chura yupo??? Sorry lakin...Habari za leo JF,
Naitwa Stella najitokeza mbele yenu leo kutafuta mchumba na baadae Mungu akipenda basi awe mume wangu wa maisha.
Kuhusu Mimi na Ninayemhitaji
Wanaume wenye nia ya dhati wanakaribishwa.
- Ninafanya kazi kwenye moja ya media houses hapa Tanzania
- I am in my late 30's
- Si mweupe kivile wala si mweusi niko hapo in between
- Nahitaji mwanaume mwenye dini yoyote sibagui
- Awe na umri kuanzia kama huo wa kwangu na kuendelea
- Situmii kilevi cha aina yoyote
- Mengine tutaelezana PM
Hii kitu utajikuta unaandaa blind date na ndugu yako!! Siku ukikutana nae unajikuta unajichekesha huku unajikuna mbupu!![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji13] [emoji13]Chura yupo??? Sorry lakin...
mzee baba naona umekuja na kingereza chako cha ras simba, kuonyesha u serious zaidi.Stella, pm kwangu inagoma. Trust me I'm more than serious itself. Naomba ni pm tuyajenge. I anticipate that I'm ur right choice.
[emoji3][emoji3][emoji3]duuhHii kitu utajikuta unaandaa blind date na ndugu yako!! Siku ukikutana nae unajikuta unajichekesha huku unajikuna mbupu!![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji13] [emoji13]