kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Chukuwa jiko hilo mzee!Nakuangalia tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukuwa jiko hilo mzee!Nakuangalia tu
Unamcheka mwenzio...Haha
HongeraNinaye
Unajua, anakoweza kusemea mbele ya keyboard ni mitandaoni... huko kwingine yeye kama mwanamke kumueleza hilo mwanaume ni changamotoSamahani ni lazima upate mitandaoni tu ,kanisani,sokoni,club,mitaani hakuna kabisa
Ni maoni tu
Wanawake wanachagua kwa vigezo vyao sana hawaangalii kupendwa...ilihali ukipendwa unakuwa una amani ujue mwanzon unaweza kuwa humpendi ndio ila kadri unavoishi nae moyo huanza kumpenda taratbu hasa huyo mtu akiwa hayupo ndo unaanza kumiss uwepo wake...asa wanawake single wengi hutaka pale wakikutana tu na moyo umridhie kulingana na taswira alyonayo kichwan kingekuwepo kitu kama hicho zaman mamazetu had saivi wangekuwa hawajaolewa kwasababu walikuwa wanachaguliwa waume.Hebu nifafanulie
imerudiwa tu Sasa sijui miaka haijasogea au?Sasa sijaelewa kwamba CV hii ni ya 2018 au ni ya 2020
Unajifaragua hapa lakini unakuta umezaliwa na hiyo hiyo flat.Dah! nimesoma ule uzi wako mwingine nimenyong'onyea uliposema nyuma kuko flat!!! Habari ya mjini kwa sasa ni walau kuwe na chura hata mdogo. Ila asipokuwepo kabisa, aisee ni tatizo.
Siku nikija Ntwara nitakutafuta PM nikuone kwanza.
Uzito ni kwaajili ya kukutoa hofu kwenye flexibilityAisee umeandika vizuri adi kilogram umetuandikia, nitakutafuta nipo nipo Mikindani hapa maana haujataka kigezo cha umri
Unajifaragua hapa lakini unakuta umezaliwa na hiyo hiyo flat.
Mitandao hii [emoji1316]
vipotabo ivyo mkuu atari sana wachache tunavielewaUzito ni kwaajili ya kukutoa hofu kwenye flexibility
Naona wewe ndio umepanic na kuongea kwa uchungu mkali,Sasa kuzaliwa na flat kuna uhusiano gani na mimi kuchagua kile ninachokitaka katika maisha yangu![emoji849]
Kuna wengine wanataka hao hao wenye flat! Hivyo hutakiwi kupaniki bila sababu maana hii ni dalili mojawapo ya kutojiamini kwa mwanamke vile jinsi alivyo. Mkuu jivunie tu na hiyo flat uliyo nayo! Utapata tu mdau utakaye mvutia. Kila mtu na chaguo lake, hivyo tusipangiane.
[emoji23][emoji23][emoji23] nyie ndo mnakwamisha tusifikie uchumi wa Kati.Mi Nina mapenzi ya dhati ila Nina kibamia,
Nije inbox?
Tatizo ametuchuja Sana.. sisi ambao tumeishia la 7 B. Hatuna nafasi yani2018 hadi leo hujapata? JF yote!! Hata huko kitaani kwako?
Hivi kwani wanaume ndiyo wamekuwa adimu hivyo au shosti uko too selective? Being too selective itakucost, utakuja kuwapata na wale fisi wenye ngozi za kondoo...shauri yako