Natafuta mchumba, nimechoka upweke

Natafuta mchumba, nimechoka upweke

Maskini huyu dada anaonekana yupo siriaz kweli kweli maana nmeona Uzi wake mwingine...Mungu akusaidie upate hitaji lako
 
Hapo kwenye AWE MWAMINIFU NA MKWELI, ndo unapofeli....!!!
Hicho kigezo ni kigumu sana na huwa tunafeli wengi.
Pagumu hapo. Naweza nikakosa kimoja, nikawa na kimoja. Ila vyote viwili, HAPANA AISEE...!!!
 
Elimu nimekuzidi.

Umri nimekuzidi.

Ni mkristo.

Sijaajiriwa wala sijajiajiri.

Mwepesi mnooo kufanya maamuzi.

Nina mtoto. Pia ni international step father.

Ni mkweli 100% ila uaminifu ni selective means inadepend nipo katika situation gani na nimekutana na nani.

I guess am not the right candidate so am out.
 
Mwaka jana nlionana na mmoja wa humu, aisee hakuwa na sifa alizoandika, muonekano wake yaani kachoka kinoma, mkamunulia savana2 tukaagana, na mawasiliano yaliishia hapo. Ukipata mtu mkaahidiana kuonana jiweke presentable kidogo
 
Kwa masharti hayo utaolewa na Malaika na siyo mtu.
 
Never giveup,utafanikiwa tu cha muhimu mtangulize Mungu ili akutimizie haja ya moyo wako...
 
Kotekote inawezekana naomba MUNGU. Popote akipatikana sifa na utukufu ni kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wape wazazi wako hiyo kazi wakutafutie mchumba, au nenda kanisani ongea na kiongozi atangaze, au ingia kwenye dating sites (huku ni bahati nasibu), lakini kama umetafuta jf basi utaweza Tantan, Okcupid, Tagged, Tinder na zingine nyingi angalia uwezavyo, chagua uanze na ipi, weka picha nzuri ikibidi kapige studio, elezea vitu upendavyo na usivyovipenda iwe rahisi kua connected na soulmate wako.

Ukikosa koote urudi kwangu nikupe hilo joto na kukuondoshea upweke huku ukisubiri mchumba ako aje.
[emoji97][emoji525]
 
Daah!! Kumbe uko serious

Mungu atakusaidia utapata
 
jitahidi uwe makini tuu dada.wengi humu ni matapeli tuuu.nakuombea sana upate mwenza wa hitaj lako
 
Umeandika vizuri hadi umenigusa mno ilo ndo hvyo daaah
Mungu akusimamie upate akufaaye
Bless u
 
vigezo vyote ninavyo ila mi ni member wa CHAPUTA kindak ndak .vp ninafaa au
 
Back
Top Bottom