Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Umesema asiye na watoto.
Je kama ana mtoto?
Vigezo vingine kafuzu?
 
Sio vigumu kumpata alievuka 40 na hana watoto isipokuwa labda ni mtu aliejihusisha na anasa sana na kashindwa kuacha au ni mgumba

Ingawa huwalei wala kuwaona sasa unawaogopea nini watoto?
Nipo London ila ukimpata unialike kwenye ndoa nilete baraka zangu na zawadi
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa pia anataka kuwa kwenye ndowa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye missingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.

Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini tunahusika na uhasibu, nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia.
Insh'Allah Allah akufanyie wepesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana kupata huyo mwanaume mwenye 41+ lakini kigezo chako cha asiwe na mtoto kina weza kua kigezo kigumu sana.

kwa mwanaume anae jitambua na anae fanya kazi kwa umri huo tajwa mara chache sana kumkuta katika hali ya ukosefu wa mtoto.

Angalizo sijui utatumia uthibitisho gani kujua kama mwanaume wako hana historia ya kua na mtoto maana kudanganywa ni 99.99% ili uingie line.

Chunga sana vinginevyo ukubali tu matokeo, lolote linaweza kutokea.
 
Yani kigezo cha umri nime √
Kigezo cha dini nime √
Kigezo cha kutokuwa na mtoto nime ×
Kuhusu makazi niko tayari kuishi London
Hapo niki add marks zangu naondoka na 80%
Yaani kama pepa nime pass.
Sasa unasemaje mchumba?
Kama nimekufahamu vizuri huishi London na una mtoto/watoto. Kama niko sawa nisamehe itakuwa ngumu kwangu. Ahsante saana.
 
Mimi ni mwanamke ninaependa kuwa na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye missingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.
Kwa kigezo cha mtoto ni ngumu we kma kweli untka mume mkubali tu la sivyo hutoweza kupta ambae hna mtoto kwa m.me mwenye umri wa 41 lbda sisi akina 20's
 
Mimi ni mwanamke ninaependa kuwa na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye missingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.
Mimi Muislamu mwemzako tena wa nyumbani kabisaaa
M nakushauri vyema tu dada angu
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni saaana
 
Ila dada angu Muombe Mungu kwa wingi amka usiku uswali umuombe Allah swalatul istikhara Allah anaweza kukukubalia ombi lako
Huku mitandaoni sidhani kma ni pazuri kwa kutafuta mume au mke
 
Back
Top Bottom