Chupayamaji
JF-Expert Member
- Sep 19, 2017
- 5,784
- 13,642
Mimi sifa zote ulizotaja ninazo bi idhni'llah ila Moja ndo Sina ya kuishi London mi naishi Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa nimekusikia, ahsante saana.Mimi sifa zote ulizotaja ninazo bi idhni'llah ila Moja ndo Sina ya kuishi London mi naishi Tanzania
Acha uchocheziKuna vijana wa ovyo watakuuliza vitu vya ajabu mzigo ni baada ya ndoa au shake well before use? Hawa vijana bure kabisa hawana maana
Acha uchochezi
Mimi sifa zote ulizotaja ninazo bi idhni'llah ila Moja ndo Sina ya kuishi London mi naishi Tanzania
Kwa kweli sitaki. Ahsante saana.Utakubali kuolewa mke wa pili?
Kama hutojali tunaeza wasiliana tufahamishane vizuriSawa nimekusikia, ahsante saana.
Unasema kweli vigezo vyote unavyo lakini tu unaishi Tanzania?? Ahsante saana.Kama hutojali tunaeza wasiliana tufahamishane vizuri
Kila la kheir.Unasema kweli vigezo vyote unavyo lakini tu unaishi Tanzania?? Ahsante saana.
Haina haja ya kuweka bandiko hapa, njoo pm tuyamalizeKumbe huku mtu unaweza pata mume, ngoja namimi nitafute mume hapa
Sawa ahsante saanaKila la kheir.
Ngumu sana kwa mwanamkeLakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Kuna vijana wa ovyo watakuuliza vitu vya ajabu mzigo ni baada ya ndoa au shake well before use? Hawa vijana bure kabisa hawana maana
Sawa nimekusikia, ahsante saana."Kubeba box" maana yake ni Kufanya kazi Aroad.
Naona umeshauliza kwa niaba yao[emoji23][emoji23]
Sawa ahsante saanaNgumu sana kwa mwanamke
Samahani kama ushauri wangu utakuwaza, BT mume au mke hupatikani katika mazingira yanayo kuzunguka lakini humu watakudhihaki unless nawe unafurahisha jukwaa but mumeo anapatikana katika mazingira yako yanayo kuzunguka, either marafiki, majirani , business partners na n.k ,so usiwachukulie poa hangaika nao hao utanishukuru, coz wengi utapima vigezo vyako kiuhalisia BT sie huku tutakudangaja kwa sababu hatujuani kiundani. Mungu akutangulie katika safari yako inshallah!!,Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni saaana
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni saaana
Sura iko kwenye avatar yangu, ahsante saana.Nataka ona sura ndo kigezo changu tofauti na hapo fungua thread ya sita ukichoka utaacha
Mambo gani haya tena bibie?Nitakununulia kisiwa chote cha Pemba.Tutaishi mimi na weye tu.Dini isitutenganishe.Zingatia hilo.