Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni saaana
Samahani kama ushauri wangu utakuwaza, BT mume au mke hupatikani katika mazingira yanayo kuzunguka lakini humu watakudhihaki unless nawe unafurahisha jukwaa but mumeo anapatikana katika mazingira yako yanayo kuzunguka, either marafiki, majirani , business partners na n.k ,so usiwachukulie poa hangaika nao hao utanishukuru, coz wengi utapima vigezo vyako kiuhalisia BT sie huku tutakudangaja kwa sababu hatujuani kiundani. Mungu akutangulie katika safari yako inshallah!!,
 
Mimi nina futi 6.2. Sasa mimi kazi zangu ni za kujiajiri, na wewe muajiriwa UK 🇬🇧, hitimisho letu linakuwaje?
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni saaana
 
Back
Top Bottom