Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Ila napenda unavojibu. Veeri humbly. Aki tena ukikosa think about me. We are the age mate.
Na nina bonus character siwezi mention hapa.
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni saaana
Kigezo cha dini nadhani ungekitoa kwa sababu kitakachoenda mbinguni ni roho wala siyo mwili.
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa. Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini. Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.

Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2". Vile vile awe Mswahili/mzanzibari/Mtanzania mwezangu.

Ahsanteni saaana
Hongera kwa kuwa muwazi,

Vigezo karibu vyote utapata, ila hapo uliposema lazima huyo unaemtaka awe anaishi London, Hapo pagumu.
 
Back
Top Bottom