THE SHADOW ONE
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,201
- 1,974
Zanzibar2014Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote.
Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa. Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.
Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini. Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.
Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2". Vile vile awe Mswahili/mzanzibari/Mtanzania mwezangu.
Ahsanteni saaana
Upendo hauna vigezo, punguza masharti