Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Soon nahamia London.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila laheri bibie. Mungu akujalie hitaji la moyo wako.Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni saaana
Naon matolu mmeanza kujinadi ,hajasema uwe mref kasema umzidi tu urefuMimi nina futi 6.2. Sasa mimi kazi zangu ni za kujiajiri, na wewe muajiriwa UK 🇬🇧, hitimisho letu linakuwaje?
Sawa nimekusikia, ahsante saana.Du! Sasa Miaka 41yrs bado Unachagua? Nchi yenyewe England, Maisha yako bado ni magumu hauna unafuu wowote Angalia utazeeka na utamu wako
Wewe chukua chochote kinachokuja wacha kuchambua mdogo wangu
Nilivyo Ona matolu, nikasema mama weee nani tena huyu (nilikuwa nimesahau kwamba nimetuma wajihi wangu)Naon matolu mmeanza kujinadi ,hajasema uwe mref kasema umzidi tu urefu
Sawa ahsante saanaNilivyo Ona matolu, nikasema mama weee nani tena huyu (nilikuwa nimesahau kwamba nimetuma wajihi wangu)
Unakaa huku London pia ?? Ahsante saanaMimi nina futi 6.2. Sasa mimi kazi zangu ni za kujiajiri, na wewe muajiriwa UK 🇬🇧, hitimisho letu linakuwaje?
Una adabu sana, yaani unaongea Kiswahili wala hujionyeshi kwamba unaishi Uingereza. Yaani weweeee natamani niisikie sauti yako nzuri yenye lafudhi ya KiungujaSawa ahsante saana
Upole ni tabia yangu na sitafuti kijana. Natafuta mzee mwezangu, ahsante saana.Sawa ahsante saana
ok olewa na hiyo elimu.Nilikuwa nasoma, ahsante saana.
Sawa ahsante sanaSamahani kama ushauri wangu utakuwaza, BT mume au mke hupatikani katika mazingira yanayo kuzunguka lakini humu watakudhihaki unless nawe unafurahisha jukwaa but mumeo anapatikana katika mazingira yako yanayo kuzunguka, either marafiki, majirani , business partners na n.k ,so usiwachukulie poa hangaika nao hao utanishukuru, coz wengi utapima vigezo vyako kiuhalisia BT sie huku tutakudangaja kwa sababu hatujuani kiundani. Mungu akutangulie katika safari yako inshallah!!,
Mwenyezi Mungu atimize hitaji la moyo wako.Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni saaana
Sawa ahsante sanaok olewa na hiyo elimu.
Asante pia.
Kwa kweli, ahsante saana.Your display picture shows off a beautiful and sexy Angel ,only the wings are missing !! Therefore come and live in my Heart and pay no rent !!.
Bora wewe urefu tu, mimi kigezo nilichonacho ni rangi tuKigezo nilichonacho ni urefu tu [emoji38][emoji38]
Sawa nimekusikia, lakini niseme tu, kuwa na imani ni muhimu kwangu. Ahsante saana.Upo UK Sehemu gani Mimi. Namjua Mtu yupo Barmigam anafundisha university of bath
Pia kigezo Cha dini Hakina maana kitoe la sivyo utaangaika Sana na uo umri wako. Maana watz wengi hapo UK Ni ngumu amuache demu wa kizungu wa 40+ ili atafute Mbongo
Andika tangazo upya
Sema upo na 40+ yrs
Unataka Mwanaume anayeishi Jiji flani hapo UK
Ondoa kigezo Cha dini hapo
Kwa kweli ahsante saanaBora wewe urefu tu, mimi kigezo nilichonacho ni rangi tu