Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Kuna vijana wa ovyo watakuuliza vitu vya ajabu mzigo ni baada ya ndoa au shake well before use? Hawa vijana bure kabisa hawana maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ku seriously.... Wapo ila ni full kuviziana...wewe unakuwa attention nae attentionKumbe huku mtu unaweza pata mume, ngoja namimi nitafute mume hapa
Kwanini inakuwa hivyo tena jamani?Ku seriously.... Wapo ila ni full kuviziana...wewe unakuwa attention nae attention
Kwa kweli, ahsante saanaKigezo nilichonacho ni urefu tu 😆😆
Nilikuwa nasoma, ahsante saana.Kila la kheri ila Hadi umri huo ulikuwa unafanya nini wakati nyie wazanzibar mnaolewa mkibalehe tu?
Hatuaminiani humuKwanini inakuwa hivyo tena jamani?
Mimi Siishi London ila Nina uwezo wa kuishi London, japo sitamaniMimi ni mwanamke ninaependa kuwa na amani na furaha wakati wote.
Natafuta mchumba atakaekuwa pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.
Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.
Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofisini, tunahusika na uhasibu, nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzia 41, muislamu na awe anaishi London pia.
Umenipata.Ila miye ni mkristo.Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote.
Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.
Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.
Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2". Vile vile awe Mswahili/mzanzibari/Mtanzania mwezangu. Ahsanteni saaana 🙏🙏
Inshaaalah, ahsante saana.Usijali mungu atakupa itaji la Moto wako.
Sawa ahsante sanaBlock 41 ni kikwazo
Sawa lakini nahitaji muislamu. Samahani saana kwa kweli.Umenipata.Ila miye ni mkristo.
Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoaJioni sana
Mambo gani haya tena bibie?Nitakununulia kisiwa chote cha Pemba.Tutaishi mimi na weye tu.Dini isitutenganishe.Zingatia hilo.Sawa lakini nahitaji muislamu. Samahani saana kwa kweli.