Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Mimi ni mwanamke ninaependa kuwa na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.

Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofisini, tunahusika na uhasibu, nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzia 41, muislamu na awe anaishi London pia.
Mimi Siishi London ila Nina uwezo wa kuishi London, japo sitamani

Sina Dini Nina Imani


Nina elimu kubwa ya Ufahamu Maishani

Amani na furaha usitegemee wakati wote, taabu na karaha hazikosi safarini

Ajuaye Hitaji lako ni Mwenyezi pekee, ingawa Moyo wako unatamani Wa Aina flani

Mtoto ni Majaaliwa japo binti Suluhu Ndio Raisi


Ukimkosa, niko pale nimekaa
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa
na amani na furaha wakati wote.

Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto.

Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi.

Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2". Vile vile awe Mswahili/mzanzibari/Mtanzania mwezangu. Ahsanteni saaana 🙏🙏
Umenipata.Ila miye ni mkristo.
 
Back
Top Bottom