Zanzibar2014
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 743
- 591
- Thread starter
- #141
Samahani, sijakufahamu vizuri hapa. Tafadhali nifahamishe maana ya posti yako. Ahsante saaana.Kuna mtu anaelekea kibra sio mda mrefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samahani, sijakufahamu vizuri hapa. Tafadhali nifahamishe maana ya posti yako. Ahsante saaana.Kuna mtu anaelekea kibra sio mda mrefu.
Kuna vijana wa ovyo watakuuliza vitu vya ajabu mzigo ni baada ya ndoa au shake well before use? Hawa vijana bure kabisa hawana maana
Kiwango chako cha elimu ni level gani ?English Literature na Linguistics. Ahsante saana.
Usijari kuna boya ataingia 18 zako.Mnanichekesha kwa kweli, ahsante saana.
Kama inaesabika mwaka wa pili chuo, lakini sikumaliza.Kiwango chako cha elimu ni level gani ?
Kiukweli niseme ukweli wa Mungu wewe utakuwa ulikua unachagua sana waume kupita kiasi ..!Kama inaesabika mwaka wa pili chuo, lakini sikumaliza.
Ahsante saana.Mungu akupe hitaji la moyo wako mamie.
Sijapata kuona kabisaKweli kabisa ahsante saana
Sawa ahsante saanaMungu akupe hitaji la Moyo wako Insh Allah.
Una busara sana. Wewe unamjibu kila mtu hata wanao kudhihaki. Mungu alitazame hitaji lako na kukupa haja zako.Mimi namjibu kila mtu, hujui uliza. Sio sahihi kunitukana bila sababu.
Ndio kuwa na maneno mema piaHilo ni tusi?