Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Yeye kasema anaefanya kazi…so hata kubeba mabox ni kazi TI…fanya fanya mambo ndugu yangu tule ubwabwa aise..

Hivi ni kweli huku ndani mtu unaweza kupata mume au mke wa kuoa?

Kama ni kweli ngoja nikamilishe mipango yangu nije na bango humu ndani la kutafuta mume haki tena
Kazi ni kazi tu kweli kabisa
 
Utapata dada. Wapo wa dini yako. Wapo warefu kuliko wewe. Wapo wa London wapo wenye kazi na wapo 41+.
Ila ungeqeka ka picha waone ka sura figure na mengineo ingenoga na ungepata fasta
Nimekufahamu nitalifikiria ahsante saana
 
Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Mimi nafanya kazi pia sijakalia maslahi
 
Kwani kuna posti ngapi za hili tangazo..
Mbona kila nikituma meseji yangu inafutwa au natuma kwenye posti nyingine?
Nitaikosa bahati hivi hivi
Hawa Mods wananichawia....
 
Kwani kuna posti ngapi za hili tangazo..
Mbona kila nikituma meseji yangu inafutwa au natuma kwenye posti nyingine?
Nitaikosa bahati hivi hivi
Hawa Mods wananichawia....
Posti ni moja tu lakini, nilikosea nikarekepisha tena.
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Unatoa tigipesa?
 
Back
Top Bottom