jnrs
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 504
- 236
Humu JF sidhani. Ukifikia unahitaji Mkulima Toka Njombe unistue[emoji257][emoji8]Mimi nimejiunga kutafuta mume tu sio chengine chochote. Ahsante saana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu JF sidhani. Ukifikia unahitaji Mkulima Toka Njombe unistue[emoji257][emoji8]Mimi nimejiunga kutafuta mume tu sio chengine chochote. Ahsante saana.
Well said ,[emoji108][emoji108]Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara? Maneno ya busara yamenukuliwa kutoka Kwa Wong Fei
Iwapo utahitaji mume Kama unavyojiandaa kuanza kutafuta unistue hasa Yule Bushpapa [emoji1787][emoji1787]Kumbe huku mtu unaweza pata mume, ngoja namimi nitafute mume hapa
Issue ni vigezo na masharti. Wanaoolewa ni Wale wanaotarajiwa kumpata mwenzi yeyote ili Mradi anapumua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
Na 25 yrs vp nije pmMimi nimejiunga kutafuta mume tu sio chengine chochote. Ahsante saana.
Usijali najua hutafuti mme humu bali unatania tuKwa kweli sio kwa umri huo
Sio kweli kabisaUsijali najua hutafuti mme humu bali unatania tu
Hapa umejidhihirisha una shida kubwa sana. Hio miji haifikiki? Wewe unajifungia ndani 24/7? Huko unakofanya kazi hamna wanaume? Hadi miaka 40 ulikua unafanya nini kama si una shida? Kwanini uwakatae wa huko uliko, udhanie kwenye mitandao ya kijamii ndio uwapate, Au nyie ndio wanawake wa beijing?Mimi nakuheshimu na wewe jiheshimu, hunijuu sikujui. Nisema wako watanzania wezangu lakini ni miji mbali mbali na pia mimi sio mtokaji saana kwa hiyo sijaona shida kutumia jukwaa hili.
Na kabla ya hapo nimeshawahi kuolewa na kabila tofauti kwa hiyo wacha kujaji watu.
Na kazini hata njiani pia wako makabila mengine mimi sitaki hao. Ahsante saaana
Ukiambiwa ukweli unakimbilia heshima uheshimiwe..Ushauri wa bure, badilika na badilisha mindset yako na tabia yako, la sivyo miaka 50 utajikuta bado unachagua chaguaNahisi hutaki kunifahamu nishajibu tayari yote.
Na juwa kuheshimu WATU ndio ungwana.
Acheni uvivu, someni mada kabla ya kujibu.Tunaomba ufafanuzi hapo kwenye misingi ya dini. Ni dini gani? Je, mume wako mtarajiwa awe wa dini gani na wewe ni dini gani?
Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.
Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.
Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.
Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".
Ahsanteni sana.
Kuna tatizo gani kutaka kutoka London lakini awe mtazania mwezangu.Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?
Mtu una miaka 41, bado unaweka masharti kibao!? Utaehani wewe ndiye mfungua mlango wa mbinguni? Hadi kuja humu maana yake umesubiri weee, ukaona umri unakimbia.
Omba Mungu akujaalie mume mwema.
Nani aliyokwambia nimesubiri tu miaka yote.Unataka aliyeko London, kutoka kwenu Zenji humtaki?
Mtu una miaka 41, bado unaweka masharti kibao!? Utaehani wewe ndiye mfungua mlango wa mbinguni? Hadi kuja humu maana yake umesubiri weee, ukaona umri unakimbia.
Omba Mungu akujaalie mume mwema.
Sijakufahamu hapa kabisaMpaka London tena, kwani kwa Zoom haifai?.