Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Natafuta mchumba wa kiume, awe anaishi London

Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Utapata dada. Wapo wa dini yako. Wapo warefu kuliko wewe. Wapo wa London wapo wenye kazi na wapo 41+.
Ila ungeqeka ka picha waone ka sura figure na mengineo ingenoga na ungepata fasta
 
Nipo London nabeba box na hili Dodo chini ya mnazi linaweza kua langu kimasihara tu,
Ngoja nivute pumzi kwanza nitarudi.
Yeye kasema anaefanya kazi…so hata kubeba mabox ni kazi TI…fanya fanya mambo ndugu yangu tule ubwabwa aise..

Hivi ni kweli huku ndani mtu unaweza kupata mume au mke wa kuoa?

Kama ni kweli ngoja nikamilishe mipango yangu nije na bango humu ndani la kutafuta mume haki tena
 
Mnaotafuta mke, mama wa watu kashajieleza sana na kawa muwazi kwamba kajiunga JF kwa dhumuni moja la kusaka mume...

Hebu fanyeni mambo
Labda nimtoe outing tu kama kula na kumzungusha kwenye jiji langu hili
 
ebhana masela jiangalieni, ohoo!!

siyo kwasababu umesikia London unakurupuka tu, tamaa siyo nzuri.
 
Hivi yule mama aliyekuwa anaishi sweeden kama sikosei ambaye alikuwa analalamika amechoka kulala peke yake nyege zinamsumbua alipataga mume?
 
Mimi ni wanamke ninae penda kuwa na amani na furaha wakati wote. Natafuta mchumba atakaekuwa
pia anataka kuwa kwenye ndoa.

Mimi sina watoto ambae pia hana watoto. Najitahidi kuwa kwenye misingi ya dini na ambae pia yuko kwenye misingi ya dini.

Naipenda kazi yangu na nahitaji mume wangu mtarajiwa pia awe anafanya kazi. Naishi London, natoka Zanzibar, nafanya kazi ya ofsini mimi ni meneja wa ofisi, tunahusika na uhasibu.

Nina miaka 41, nahitaji mume wangu mtarajiwa awe na miaka kuanzi 41, muislamu na awe anaishi London pia,
rangi sio tatizo lakini awe kanizidi urefu, mimi ni 5'2".

Ahsanteni sana.
Bahati si yangu maana hivyo vigezo nimefeli vingi na kupasi kimoja tu. Lakini unaonekana ni Mwanamke muelewa, mnyenyekevu na mwenye busara. Ningepasi vigevyo vyako, harusi ingefanyika kabla ya x mass.
 
Bahati si yangu maana hivyo vigezo nimefeli vingi na kupasi kimoja tu. Lakini unaonekana ni Mwanamke muelewa, mnyenyekevu na mwenye busara. Ningepasi vigevyo vyako, harusi ingefanyika kabla ya x mass.
🙏🙏
 
Back
Top Bottom