Kwa hiyo hujamaliza utambulisho, kumbe Kuna mengine hujaeleza ili tukufamu!?Nani aliyokwambia nimesubiri tu miaka yote.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo hujamaliza utambulisho, kumbe Kuna mengine hujaeleza ili tukufamu!?Nani aliyokwambia nimesubiri tu miaka yote.
Sasa mimi wa Tandahimba huku nitaoa kweli kwa hali hii?
Mambo yote nimesema lakini wengine wanapenda kuhukumu mnooo.Kwa hiyo hujamaliza utambulisho, kumbe Kuna mengine hujaeleza ili tukufamu!?
Niumie kwa lipi na mwanamama anayetafuta mume miaka 40+ ambaye ameacha wanaume kibao huko aliko, anakuja mitandao ya kijamii?Mimi sio mwanao, nini kina kuuma.
Kama unaishi huku sote tutapima huku.Hujasema kama upo tayari kupima UKIMWI.
Mwambie huyo, kashika kuniandama kila siku, cha ajabu hapambani na hali yake.Mitandao ya kijamii ni watu wanatumia Sio mazimwi , watu wanakutana na kuoana wacha ushamba
Umeshampata?Halafu chengine huku tunajali saana kazi mtu hawazi kuhama tu mji anaoshi na anafanya kazi huko hata kama miji unafikika kama ana kazi yake.
Jaribu wewe basi huko kaa Dar halafu mkeo awe anaishi Arusha, uwone raha yake