Matawi ya juu
JF-Expert Member
- Mar 5, 2019
- 3,504
- 6,809
Wala kitimoto vipi? na vipi wakikubali kuacha kitimoto utawapa chance?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini matusi ??Umeshampata?
😳🙄Wala kitimoto vipi? na vipi wakikubali kuacha kitimoto utawapa chance?
Itakuwa vizuri kupata zawadi yakoSio vigumu kumpata alievuka 40 na hana watoto isipokuwa labda ni mtu aliejihusisha na anasa sana na kashindwa kuacha au ni mgumba
Ingawa huwalei wala kuwaona sasa unawaogopea nini watoto?
Nipo London ila ukimpata unialike kwenye ndoa nilete baraka zangu na zawadi
Nimesha waona 🙏🙏Inawezekana kupata huyo mwanaume mwenye 41+ lakini kigezo chako cha asiwe na mtoto kina weza kua kigezo kigumu sana.
kwa mwanaume anae jitambua na anae fanya kazi kwa umri huo tajwa mara chache sana kumkuta katika hali ya ukosefu wa mtoto.
Angalizo sijui utatumia uthibitisho gani kujua kama mwanaume wako hana historia ya kua na mtoto maana kudanganywa ni 99.99% ili uingie line.
Chunga sana vinginevyo ukubali tu matokeo, lolote linaweza kutokea.
Kweli kabisaIla dada angu Muombe Mungu kwa wingi amka usiku uswali umuombe Allah swalatul istikhara Allah anaweza kukukubalia ombi lako
Huku mitandaoni sidhani kma ni pazuri kwa kutafuta mume au mke
🙏🙏Hakika Mwenyezi Mungu akupe kusudio la moyo wako.
🙏🙏
Nimeshawaona tayariKuna vijana wa ovyo watakuuliza vitu vya ajabu mzigo ni baada ya ndoa au shake well before use? Hawa vijana bure kabisa hawana maana
SawaaaaaKigezo nilichonacho ni urefu tu 😆😆
SawaaaaBlock 41 ni kikwazo
🙄😳Mambo gani haya tena bibie?Nitakununulia kisiwa chote cha Pemba.Tutaishi mimi na weye tu.Dini isitutenganishe.Zingatia hilo.
🙏🙏Usijali mungu atakupa itaji la Moto wako.
SawaaaaMimi Siishi London ila Nina uwezo wa kuishi London, japo sitamani
Sina Dini Nina Imani
Nina elimu kubwa ya Ufahamu Maishani
Amani na furaha usitegemee wakati wote, taabu na karaha hazikosi safarini
Ajuaye Hitaji lako ni Mwenyezi pekee, ingawa Moyo wako unatamani Wa Aina flani
Mtoto ni Majaaliwa japo binti Suluhu Ndio Raisi
Ukimkosa, niko pale nimekaa
Dada
Kwani bado hawajaniwahi?Dada
Amesema jioni yeye asubuhiLakini atapata na ataolewa Mkuu....Mamdogo wangu kafunga harusi mwaka Jana akiwa na 43 .palipo na mwanamke aliyechelewa kuolewa,pana mwanaume pia aliyechelewa kuoa
[emoji15][emoji849]
Sijakufahamu kabisaKwani bado hawajaniwahi?
Umekaa sana London hadi umesahau maandishi ya kiswahili na kuyaelewa.Bado haujapata mume?Ndiyo swali langu.Sijakufahamu kabisa